Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
haya sema kwa nini unakunywa bia za gesh?
Bia za gesh huripi kodi....naikomoa serekari
haya sema kwa nini unakunywa bia za gesh?
Coz i have seen BROKEN HEART answer from you to Lizzy thread's for a second time
So i want to compare you and Lizzy
mimi ni she...!
haya compare bas
yes i am!you wanna try me?I see you as a VERY STRONG WOMAN in your mind :clap2:
ukweli si ustaarabu na inaumiza....:coffee:
yes i am!you wanna try me?
Bia za gesh huripi kodi....naikomoa serekari
Labda ni hisani ya ule mfumo wa premier leagu..msimu huu uko relegated, msimu ujao uko promoted, either way, haileti maana yoyote katika maisha ya kisasa where anyone is someonesaa nyingine ndo yale yale ya 'kusubirishana'.....leo uko out of his/her league, kesho umo ndani.....
My Dear Lizzy,
Tena wapo wengi sana wa aina hiyo lakini nikwambie tu kitu kuwa "Hayo ni maneno ya mkosaji".
Inakuwa kama hadithi za sungura vile alivyoshindwa kufikia ndizi akasema sizitaki mbichi hizi.
You have to be STRONG enough in your mind to face different life challenges . . . .:coffee:
When i grow older,i will be stronger......lol
Maneno
" . . . mi sio saiz yako" au "mi sio rika lako" au " au " hatuendani kabisa" ni lugha nyingine ya mtu kusema SIHITAJI LOLOTE KUTOKA KWAKO.
Na wakati mwingine hutumia kama njia ya kukupima kujiamini kwako kama upo tayari kukabiliana na changamoto mbalimbali ktk maisha???
So usiumize kichwa kwa kumtafutia jibu la kejeli au dharau badala yake mpe jibu la kuonyesha HOW WISE YOU ARE
Na pia kukutokea mambo kama haya usione kama ni mkosi fulani ktk maisha yako, bali ni kila mtu anakutana navyo. Jaribu kuona ni namna gani utaweza kupambana na watu wa aina hiyo lakin IN A WISE WAY
Nawakilisha
mmmmmmmmmh . .starting from which age?? lol :coffee:
..too personal!No need to try you anymore, as i have been following you in different posts here . . . . :coffee: