Our Leader's stubborness will cost us dearly

Sishauri kabisa at this point wananchi waanze kutumia masks, watasababisha shortage itayowaathiri zaidi healthcare workers wanaotuhudumia na wagonjwa wa Corona.
Italy, US na nchi nyingine zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa PPE, na sisi hatuna uzalishaji wa kutosha wa PPE unaoendana na demand na tujue misaada take time , tuwaachie hizo mambo clinicians na wagonjwa.
Let's not tip that critical balance of demand and supply of PPE. Please,be vigilant but do not panic.
 
Kama kuna wakati tunahitaji kumsikia Rais wetu, Rais wa wanyonge, akituhaikikshia usalama wetu na kutupa tumaini, ni sasa.

Huu ndio wakati wako kama jemadari wetu mkuu kutueleza mikakati ya kututoa kwenye hili giza totoro tukikabiliana na adui asiyeonekana.

Huu ndio wakati wa kutupa mrejesho wa hatua unazochukua kama kiongozi mkuu wa taifa kutuepusha na hali ya wasiwasi iliyotanda kama wingu.

Huu ndio wakati wa kulihutubia taifa na kuliondolea hofu na woga kufuatia taarifa za maafa yaliyoikumba dunia kufuatia ugonjwa huu wa ajabu uaosambaa kwa kasi ya moto wa nyika.

Huu ndio wakati wako wa kuwajaza imani na ujasiri kwamba uko kwenye usukani na utatuvusha salama wala hakuna cha kututisha wananchi wako ndani ya taifa hili.

Rais wetu uko wapi? Taifa linakuhitaji. Wananchi wanakuhitaji Tunataka tusikie hata sauti yako.
 
Huna lolote utopolo Wewe zaidi ya kutaka kujionyesha na wewe unajua kiingereza.
Enhee! Wacha wee,kwa hiyo anajionyesha anajua kiingereza. Jenga hoja,jibu hoja mkuu. Acha character assassination.
 
CORONA ana hamu sana na vichwa vya watz coz tumemdharau sana
 
kwa takwimu hizi na uwezo wa nchi zetu za africa hasa jangwa la sahara kwa mtazamo wangu naona MASSACRE kubwa itatokea maana uchumi wa hizi nchi ni mdogo pia utaalamu na vifaa ni mdogo sisi hali naona itakuwa mbaya zaidi kuliko hata hizo nchi za Dunia ya kwanza
 
Pia sishauri kugawa dawa zozote kwenye kaya. Corona ni novel disease, bado hatuujui huu ugonjwa vizuri. Tafiti ni chache.
Elimu ya kutosha juu ya huu ugonjwa kwa wananchi bado ni ndogo na BCC ndio kabisa.
Hatuna uhakika wa efficacy ya Chloroquine kwenye kutibu huu ugonjwa. Lakini pia hatuwezi kufanya mass drug distribution/administration kama tiba au prophylaxis bila ya kuwa na WHO guideline, kumbuka kuna cases za fatal overdose huko Nigeria na US. Kiufupi, tafiti hazitoshi.
Nasisitiza, resilience, vigilance, surveillance and approved preventive measures.
 
Kwa hatua hii ya BOT, naamini Sasa Magufuli naye Ameelewa COVID-19 is serious, tujiandae kwa Curfew/lockdown - JamiiForums
 
Kwa umaskini wa nchi yetu hatuna option yoyote bora kwa sasa,kila hatua itakayochukuliwa itakuwa chungu kama shubiri.
Damned if we do,damned if we don't.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mag3
Ujumbe wako hata Mimi umenitoa machozi...! Kama sikosei hii bila ya shaka ni laana ya Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere(rip)... !!!
 
ukisoma comments unaboreka!! hivi wajameni hamchoki kuandika kushinikiza lockdown msiyoijua? wengine pangu pakavu tuoneeni huruma, najua kuna watu mna maslahi yenu kisiasa kiuchumi na kijamii kwa lockdown basi si myataje tu badala ya kuzunguka zunguka daily na nyuzi kibao! kama ni Corona kusambaa mnavyotaka nyie tayari tungekuwa sote tumekufa! ugonjwa ulianza Dec 2019 huu ni mwezi wa tano sasa ndo tuna 19 cases minus waliopona wakati US tayari ina wagonjwa laki mbili kasoro kiduchu!! ndugu wapenda lockdown si mhamie Uganda na familia zenu mkafungiwe wote mnaogopa kufa kwa corona? mmeambiwa msali ubishi umewajaa! nzige walipotea njia hawakuja, kimbunga kikapiga huko na huko hakikuja na Corona pia itadunda inshaallah!

total lockdown is a source of big politically influenced chaos na yaweza kuzalisha balaa zingine kibao, lockdown ikianza yawezekana baadhi ya raia wataanza kupimana ubavu na wajeda na manjagu! nadhani kuna watu wanataka chaos wapitie humo humo wanufaike! tuwapuuze!!
 
Nani kakwambia tunazungumzia lockdown hapa?
Hapa tunazuia kufunga mipaka na kuzuia wageni kuja nchini
 

Rubbish....!!
Kipi bora? Kuruhusu watu WAENDELEE na shughuli Kama kawaida huku wakiendelea KUENEZA/AMBUKIZA CORONA au TOTAL LOCKDOWN uponye maisha ya Watz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…