Ouko killed at State House, says report...................

Vipi kuhusu Horace Kolimba?

Kuhusu Kolimba.................Rev. Mtikila alijaribu mahakamani kuomba afukuliwe na uchunguzi wa kina ufanyike lakini mahakama zetu ambazo haziendeshwi kwa haki zikaishia kumfunga mwaka mzima lupango.........Mtikila kwa kudai haki ya kimsingi ya kujua mauti haya yaliyomfikia Mtikila yalitokea vipi...........................
 
Hakuna kipya, Biwott hatafanywa lolote. Imefanyika Tanzania pia wengi tu wameuawa,

Usiharakishe kusema hakuna jipya Bunge la Kenya laweza kutoa amri uchunguzi huo urudiwe na Biwott aweza kuwa matatani............
 
Hata Tanzania yametendeka kama haya. Kitu cha kujipa moyo ni kuwa "maiti haiwezi kufichwa kabatini", nakusudia kwenye makabrasha ya wahalifu, lazima siku moja yatatoka nje. Mungu awarehemu Sokoine, Kolimba, Malima, Wangwe......Sehemu haitoshi kutaja orodha yote, hasa ya Zanzibar katika miaka ya 60 na 70.

Usiniambie hii kitu hata TZ ipo?? duh basi itabidi nipunguze kihere here... bt kwa TZ cjasikia mtu kauwawa ikulu.
 
Hivi huyu jamaa ndio yule alieuwawa na serikali ya kenya wakamchoma moto halafu wakatengeneza wax body inayofanana nae, saa ya mazishi ndugu zake wakashtukia ishu kuwa kumbe ni mdoli na sio ndugu yao??

dah kenya ni balaa
 
Back
Top Bottom