Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,439
- 5,235
Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mgombea Urais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Othman Masoud Othman amesema chama hicho kimedhamiria kuiondoa CCM madarakani ili kuwakomboa watanzania na kadhia ya umaskini.
Akizungumza na wananchi wa Mwandoya Jimbo la Kisesa Mkoani Simiyu wakati wa mapokezi ya Luhaga Mpina, amesisitiza kuwa serikali iliyopo madarakani imeshindwa kusimamia raslimali za Taifa.
“Inawezekana kupambana na Chama cha Mapinduzi na tukakiondoa katika kushika dola, nchi hii ni tajiri kuliko nchi yoyote ya Afrika lakini ndio nchi ambayo ina maskini wanaotambuliwa kimataifa”
Akizungumza na wananchi wa Mwandoya Jimbo la Kisesa Mkoani Simiyu wakati wa mapokezi ya Luhaga Mpina, amesisitiza kuwa serikali iliyopo madarakani imeshindwa kusimamia raslimali za Taifa.
“Inawezekana kupambana na Chama cha Mapinduzi na tukakiondoa katika kushika dola, nchi hii ni tajiri kuliko nchi yoyote ya Afrika lakini ndio nchi ambayo ina maskini wanaotambuliwa kimataifa”