mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Haina ubishi kuwa kundi la kigaidi la al-qaeda bado lipo na huenda
labda linazidi kujihimalisha siku hadi siku. Lakini je, bossi wao
Osama bin Ladeni kwa sasa yuko wapi? mbona yu kimya sana?
amekufa au yu hai? au afya yake kwa sasa ni mgogoro?
Jamani mm si kibaraka wa CIA wala FBI, ila najua JF inavichwa vyenye
uelewa mkubwa wa mambo na wanaweza kutumwagia majibu ya kweli
hapa jamvini kwa faida ya wote. - Nawasilisha
labda linazidi kujihimalisha siku hadi siku. Lakini je, bossi wao
Osama bin Ladeni kwa sasa yuko wapi? mbona yu kimya sana?
amekufa au yu hai? au afya yake kwa sasa ni mgogoro?
Jamani mm si kibaraka wa CIA wala FBI, ila najua JF inavichwa vyenye
uelewa mkubwa wa mambo na wanaweza kutumwagia majibu ya kweli
hapa jamvini kwa faida ya wote. - Nawasilisha