Orodha ya wazee wanaoweza kutumiwa kuunda kamati ya kushauri uongozi hii hapa...

Mtu anayeweza Kuwait's wengine malofa na wapumbavu unawezaje kumuweka kwenye wazee wa busara? Msifanye utani na neno "Busara".
Si bora hata ungetaja mzee Jangala!
Kwan unapokosea baba yako hakuiti mpumbavu alafu akakurekebisha?? Ndicho alifanya huyo Mzee, pia ana mazuri mengi haimaanish kuwa na mazuri atakosa mabaya
 
Ame
Hata maji Warioba hawezi tena kuingia kwenye wazee wa busara. Mtu anayeweza kukana msimamo wake ili tuu mtoto wake apate cheo hatufai. Bora hata mzee Majuto
Amekana lini msimamo wake ndugu?
 
Hata maji Warioba hawezi tena kuingia kwenye wazee wa busara. Mtu anayeweza kukana msimamo wake ili tuu mtoto wake apate cheo hatufai. Bora hata mzee Majuto
Tusisinguzie wazee nachosema ni kuwa kumuunga mkono magufuli aimaanish katengua msimamo wake, pia ule haukuwa msimamo wa warioba Bali wa wananchi, ye alikuwa anawakilisha tu
 
Kwan unapokosea baba yako hakuiti ******** alafu akakurekebisha?? Ndicho alifanya huyo Mzee, pia ana mazuri mengi haimaanish kuwa na mazuri atakosa mabaya
Wewe baba yako akikosea unaweza kumuita mpumb...? Sasa huyo aliyesema wapinzani ni ..... Na ...... hajui kuwa humo wapo hata wenye miaka 90 na zaidi anbao ni sawa na baba Ben?
 
Hawa wazee au wachumia tumbo?katiba mpya,kiwira,ubinafsishaji holela na wizi wa nyara za serikali ndio wanaweza kushauri
 
Wewe baba yako akikosea unaweza kumuita mpumb...? Sasa huyo aliyesema wapinzani ni ..... Na ...... hajui kuwa humo wapo hata wenye miaka 90 na zaidi anbao ni sawa na baba Ben?
Hapana ila yeye anaweza kuniita
 
Hao wazee ni kwa ushauri wa tukio Fulani au unataka iwepo kwa mujibu wa sheria?? Kama ni kwa tukio Fulani ndo wanachokifanya kwa sasa rais kwa muda wake hiwaona na kuwaomba ushauri inapobidi,ndo maana hukutana na baadhi yao Mara kwa Mara,ila Kama unataka iwe kwa mujibu wa sheria haupaswi kupendekeza watu,pendekeza nafasi za watu ,maana hao watu Kuna kufariki ,so INA maana nchi ikose washauri?? Sema kama Maji mstaafu,waziri mkuu mstaafu etc
 
Hao wazee ni kwa ushauri wa tukio Fulani au unataka iwepo kwa mujibu wa sheria?? Kama ni kwa tukio Fulani ndo wanachokifanya kwa sasa rais kwa muda wake hiwaona na kuwaomba ushauri inapobidi,ndo maana hukutana na baadhi yao Mara kwa Mara,ila Kama unataka iwe kwa mujibu wa sheria haupaswi kupendekeza watu,pendekeza nafasi za watu ,maana hao watu Kuna kufariki ,so INA maana nchi ikose washauri?? Sema kama Maji mstaafu,waziri mkuu mstaafu etc
Hayo maoni mazuri sana
 
Back
Top Bottom