Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
kuhusu ufanisi, hapo hujui unaloongea, wahitimu wa udsm wana extra confidence kuliko wale wa mzumbe saut na tumaini ambao mara zote huwa wanajifeel infirior mno hata makazini wanataka mudsm afanye kwanza wamwangalie ndo wao wafuate.nyie vyuo vingine naomba muwe na adabu udsm ni baba yenu hamuwezi kuongea
Uongo....
Kuna kilaza nipo nae ofisini ni kimeo hatari halafu anajifanya anajuuuuua matokeo yake anaharibu kazi badala ya kuomba aelekezwe asipoelewa anajifanya yupo busy kumbe anaharibu na kutuongezea majukumu wengine