Orodha ya wabunge wa CHADEMA waliobebwa na upepo wa Lowassa ambao baada ya Uchaguzi Mkuu 2020 watasahaulika

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Nikiwa katika shughuli za kukagua utekelezaji wa Serikali kwenye miradi mbalimbali nilipata fursa ya kufanya tathimini kwenye baadhi ya majimbo yaliyochini ya wabunge wa CHADEMA. Kimsingi na kwa hakika wafuatao walijikuta wabunge kwa sababu ya ''upepo'' wa Lowassa na kuelekea uchaguzi mkuu 2020 wajiandae kukabidhi majimbo hayo kwa wananchi;
  1. Gibson Meiseyeki-Arumeru Magharibi
  2. Godbless Lema-Arusha
  3. Esther Bulaya-Bunda Mjini
  4. Esther Matiku-Tarime Mjini
  5. John Heche-Tarime Vijijini
  6. Saed Kubenea-Ubungo
  7. John Mnyika-Kibamba
  8. Nagenjwa Kaboyoka -Same Mashariki
  9. Wilfred Lwakatare-Bukoba Mjini
  10. Anthony Komu-Moshi vijijini
Mnaweza mkaendelea kuorodhesha lakini kwa tathimini yangu niliyofanya kama wabunge hao wataendelea kusikiliza matakwa ya CHADEMA badala ya wananchi ni dhahiri watapaswa kukabidhi majimbo hayo kwa wananchi.

Nawasilisha.
 
Naweza kubisha kwa wabunge waliokuwa "incumbent".Nachukulia mfano kafulila alibwagwa pamoja na mafuriko!Lakini kwa Mesiyeki na ulovomweka kinara niko na wewe mia mia!
 
@="Wakudadavuwa, p
Unateseka sana. Kwa nn usipige kisichana kimoja akili itulie?
 
Ungeongeza na majina haya
Mbowe
Lissu
Mdee
Mkosamali
Msigwa
Waitara
Kuchauka
Gekuu
Lusinde
 
Back
Top Bottom