Mafuriko yanaendelea. CCM inatikisika na si ajabu kuwa kwa sasa CCM inapita ktk kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historia yake.
Ninauleta uzi huu ili tuorodheshe orodha ya viongozi waliohama CCM na kujiunga na vyama vingine, tangu Lowassa aitose CCM.
Binafsi ninawafahamu Goodluck Ole Medeye (naibu Waziri wa Ardhi), Makongoro Mahanga (Naibu Waziri wa kazi), Mgana Msindai (Mwenyekiti wa CCM Singida), Hamisi Mgeja (Mwenyekiti wa CCM Shinyanga), Saidi Nkumba (Mbunge wa Sikonge)
Taja wengine. Binafsi nitawaorodhesha ktk kitabu changu. Viongozi wawe ni viongozi wa CCM wa ngazi zote iwe ni mashina, matawi, vijiji, Kata, wilaya, mikoa au Taifa
Nawasilisha
Ninauleta uzi huu ili tuorodheshe orodha ya viongozi waliohama CCM na kujiunga na vyama vingine, tangu Lowassa aitose CCM.
Binafsi ninawafahamu Goodluck Ole Medeye (naibu Waziri wa Ardhi), Makongoro Mahanga (Naibu Waziri wa kazi), Mgana Msindai (Mwenyekiti wa CCM Singida), Hamisi Mgeja (Mwenyekiti wa CCM Shinyanga), Saidi Nkumba (Mbunge wa Sikonge)
Taja wengine. Binafsi nitawaorodhesha ktk kitabu changu. Viongozi wawe ni viongozi wa CCM wa ngazi zote iwe ni mashina, matawi, vijiji, Kata, wilaya, mikoa au Taifa
Nawasilisha