Orodha ya viongozi wa CCM waliomfuata Lowassa

Orodha ya viongozi wa CCM waliomfuata Lowassa

Mwigulu Mchemba na Nape nao wanatimka kufuata Lowassa

Nape na Makonda wanashinda nyumbani kwa Membe kila siku , wamebuni Mladi wa kuchukua Pesa kwa Membe kwa kisingizio cha kumsaidia kumchafua Lowasa , sasa Membe kalifukua lile handaki alilofukia mapesa ya Gadafi kaanza kuzitumia kuwanunua Ukawa ameanza na Lipumba na Slaa sasa wanapanga kuwanunua wengine.
 
Mafuriko yanaendelea. CCM inatikisika na si ajabu kuwa kwa sasa CCM inapita ktk kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historia yake.

Ninauleta uzi huu ili tuorodheshe orodha ya viongozi waliohama CCM na kujiunga na vyama vingine, tangu Lowassa aitose CCM.

Binafsi ninawafahamu Goodluck Ole Medeye (naibu Waziri wa Ardhi), Makongoro Mahanga (Naibu Waziri wa kazi), Mgana Msindai (Mwenyekiti wa CCM Singida), Hamisi Mgeja (Mwenyekiti wa CCM Shinyanga), Saidi Nkumba (Mbunge wa Sikonge)

Taja wengine. Binafsi nitawaorodhesha ktk kitabu changu. Viongozi wawe ni viongozi wa CCM wa ngazi zote iwe ni mashina, matawi, vijiji, Kata, wilaya, mikoa au Taifa

Nawasilisha

Guninita aliyekuwa mkt wa ccm dsm
 
Makonda yupo kwa Membe mda huu anavuta Pesa kwa Ajili ya kazi ya kumchafua Lowasa kwenye mtandao

CCM mwaka huu itavuna hasara. Watu watavuta pesa mwisho wa siku kura kwa Lowassa.
 
Back
Top Bottom