Mwananchi wamepewa miezi 6 kurekebisha wanahisa wake kulingana na sheria ya huduma za habari 2016Orodha ya magazeti na majarida 112 yaliyofanikisha kupata leseni imetolewa huku magazeti ya Mwananchi communications yakikosekana kwenye orodha.
Hapo nimetoka kapaMwananchi wamepewa miezi 6 kurekebisha wanahisa wake kulingana na sheria ya huduma za habari 2016
Orodha ya magazeti na majarida 112 yaliyofanikisha kupata leseni imetolewa huku magazeti ya Mwananchi communications yakikosekana kwenye orodha.
Kulingana na taarifa ya msemaji mkuu wa Serikali, magazeti hayo hayataruhusiwa kuchapishwa tena mpaka watapokamilisha utaratibu wa maombi ya leseni zao na amewakumbusha ni kosa la jinai kuchapisha bila ya kuwa na leseni.
Kwa hiyo wataendelea kutoa machapisho ama laMwananchi wamepewa miezi 6 kurekebisha wanahisa wake kulingana na sheria ya huduma za habari 2016