Hapa Afrika USA military camp ambazo hipo visible ni US CAMP LEMONIER hiko Djibouti na Diego Garcia. Nyingine zinazofanya kazi bila kuwa wazi hapa Afrika ni nyingi ambazo kwa lugha ya Kijeshi na Kijajusi zinaitwa BLACK SITE.
Hizi kila nchi ambayo ina ubalozi wa USA camp hiyo hipo hapa Tz,Uganda,Kenya,DRC,Egypt,Rabat,Angola,etc
USA under its OPEN DOOR POLICY AND MONREO DOCTRINE wants to controll the global na wamefanikiwa kwa percent kubwa.
Je, utafurahi ukifanikiwa kupata kazi ktk jeshi la marekani?