Mwislam by choice
JF-Expert Member
- Sep 23, 2017
- 555
- 660
Sio kweli wanamilik pharmaceutical industry, medical hata education system ndo ma editor inshort hao jamaa wawil ndo kila kitu federal bank of US ni Mali yao inasemekana.
Orodha ipi tena ? Unajua inatokeaje hiyo ? Mwaka Jana ambayo ilikuwa 2024 walitoa taarifa kama hiyo huko kwenye mtandao lakini kuna watu wakuka kusema hao jamaa hawana hela hiyo wana 1 M Usd' s na ndio mana Forbes wakawaexclude kwenye list yao, na wewe umeleta list ya Forbes au nasema uwongo?....ndio mana mimi naona that list is rigged....and next time uache kusema nimetoa story kijiweni, I read alot na I am good at doing research ndio mana hiyo list yako simkubali moja kwa mojaKwa nini hawapo kwenye orodha ya familia zilizo tajiri duniani?
The Congress owns Federal Reserve System mkuu...Sio kweli wanamilik pharmaceutical industry, medical hata education system ndo ma editor inshort hao jamaa wawil ndo kila kitu federal bank of US ni Mali yao inasemekana.
Orodha ipi tena ? Unajua inatokeaje hiyo ? Mwaka Jana ambayo ilikuwa 2024 walitoa taarifa kama hiyo huko kwenye mtandao lakini kuna watu wakuka kusema hao jamaa hawana hela hiyo wana 1 M Usd' s na ndio mana Forbes wakawaexclude kwenye list yao, na wewe umeleta list ya Forbes au nasema uwongo?....ndio mana mimi naona that list is rigged....and next time uache kusema nimetoa story kijiweni, I read alot na I am good at doing research ndio mana hiyo list yako simkubali moja kwa moja
Orodha ipi tena ? Unajua inatokeaje hiyo ? Mwaka Jana ambayo ilikuwa 2024 walitoa taarifa kama hiyo huko kwenye mtandao lakini kuna watu wakuka kusema hao jamaa hawana hela hiyo wana 1 M Usd' s na ndio mana Forbes wakawaexclude kwenye list yao, na wewe umeleta list ya Forbes au nasema uwongo?....ndio mana mimi naona that list is rigged....and next time uache kusema nimetoa story kijiweni, I read alot na I am good at doing research ndio mana hiyo list yako simkubali moja kwa moja
Umecharaza mwandiko kiwepesi utadhani unawamudu.Rothschild family ilikuwa zamani walishapoteana kitambo sana
Rockefeller family wa kawaida sana hata Dangote kawapiga gap
Nuktana maisha ya anasa.
Hawa unawawekaje wakati wao ndio wamiliki au wenye hati miliki ya Pesa zote zilizopo dunianiRothschild family
Good to gocha muhimu nahela ya kununua vitumbua na dagaa mchel baaasi.
Ushaolewa kwanza?Familia yetu mbona siion??