mjini shule...New arrived
Original perfumes and EAU DE TOILETTE from USA
Call/WhatsApp 0713662655 dar
View attachment 594303 View attachment 594304 View attachment 594305 View attachment 594306 View attachment 594307 View attachment 594308 View attachment 594309 View attachment 594312 View attachment 594311
Perfume original haiwezi uzwa kwa Jamii forums hapa hizo fake. Nenda maduka yapo tena machache dar. Nshapigwa mpk nkanyookaMh! Mh! Mh! Inakuwaje EAU de toilette ndo ina bei hivo, tena kuliko hata EAU de parfume wakati ndio yenye high concentration!!! Kwakweli hapana aisee!!!
teh teh tehKweli wewe ni jitu jeusi aiseee!!inamaana huoni bei kweli?
Ngoja nikifundishe hesabu kidogo. Hiyo 75k ukitoa super profit yako ya 50k inabaki 25k ambayo ndiyo bei ya perfume, na hiyo 130k ukitoa super profit ya 100k inabaki 30k ambayo ndiyo bei ya perfume ndomana nakwambia hongera kwa ubunifu mzuri "perfume kutoka kwa trump"Hahaha perfume moja inauzwa 75,000 sasa hio faida ya 100,000 itokee wapi mkuu,
Angalia bei vizuri sio laki saba hio.

Kweli kuna perfumes original zinauzwa 25,000?Ngoja nikifundishe hesabu kidogo. Hiyo 75k ukitoa super profit yako ya 50k inabaki 25k ambayo ndiyo bei ya perfume, na hiyo 130k ukitoa super profit ya 100k inabaki 30k ambayo ndiyo bei ya perfume ndomana nakwambia hongera kwa ubunifu mzuri "perfume kutoka kwa trump"![]()
Hizo zako si umezitoa pale msimbazi k/koo afu unakuja kutuambia eti zimetoka white house kwa TrumpKweli kuna perfumes original zinauzwa 25,000?
Wapi?
New arrived
Original perfumes and EAU DE TOILETTE from USA
Call/WhatsApp 0713662655 dar
View attachment 594303 View attachment 594304 View attachment 594305 View attachment 594306 View attachment 594307 View attachment 594308 View attachment 594309 View attachment 594312 View attachment 594311