Original Comedy TBC1 Mkajipange

Hao kwisha Kabisa, wamebaki kujipodoa na macream na kuvaa kike kike sasa sijui huo ndio ucheshi ama wao ni mawakala wa ushoga.

 
mi sioni chochote si original comedy si futuhi na wale wajinga wengine wanaojita comedians hawana lolote linalochekesha....watafute kazi nyingine ya kufanya....vichekesho watuachie tuchekeshana wenyewe...maisha yetu yenyewe ni kichekesho tosha....
 
mi sioni chochote si original comedy si futuhi na wale wajinga wengine wanaojita comedians hawana lolote linalochekesha....watafute kazi nyingine ya kufanya....vichekesho watuachie tuchekeshana wenyewe...maisha yetu yenyewe ni kichekesho tosha....

mi maisha yangu sio kichekesho,ntakuwa nayacheka yako
 
Kiukweli hawa jamaa hawavutii tena,sijui ni TBC inawatia gundu.bora ya Futuhi ya Brother K na muhaya wake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…