watu washaitwa anko... wameita wachache tuu waliofaulu pepa
vimemo kaka
Mbona ni madereva na watu wa idara ya afya tu? Au ndio walifaulu?
si hivyo mkubwa madereva na idara ya afya ndo waliwekwa katika web bt wa2 wengine wamepigiwa sim. pia kama kuna m2 mwenye taarifa kam hizo oral interview washamaliza kwa kada zote a2juze. mwaka mpya mwema wadau, 2kaze kwa kasi zaidi
Web ipi ndugu maana mi mwenyewe nili apply upande wa afya ila naona kimya udom
watu wahsaanza kazi siku nyiiiiingi kumbe wengine bado mnasubiria kuitwa oral,daaaaaaaaaahh