Oral interview shirika la posta

Oral interview shirika la posta

NAAMINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
672
Reaction score
235
Nimesikia kuna raia zimeitwa kwa oral interview hivi hii taarifa inaukweli wowote???

Na kama itakuwa kweli hivi maswali yao ya oral hawa jamaa yapoje kwa wale wenye uzoefu.

NB
Lugha za kebehi, matusi au kama hujui soma amsha.
 
Nimesikia kuna raia zimeitwa kwa oral interview hivi hii taarifa inaukweli wowote???

Na kama itakuwa kweli hivi maswali yao ya oral hawa jamaa yapoje kwa wale wenye uzoefu.

NB
Lugha za kebehi, matusi au kama hujui soma amsha.
Je umeitwa kwenye interview au hujaitwa???
 
Subiria uitwe kwanza ndo uombe madesa kwa wana,sasa utaanzaje kununua magauni ya mtoto atakayezaliwa,je akija dume??
Nitayahifadhi hadi nitakapopata jike>........tuanze sasa jombaa...
 
Haha mkuu kua na subira awamu hii ajira ni nyingi mno kushinda uhitaji , utaitwa tu[emoji16]
 
Labda wameitwa kama walivyoitwa wa tanapa
 
Back
Top Bottom