mbasajohn
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 247
- 39
Wadau nimefanikiwa kupita mchuzo wa 10,000+ ya uhamiaji lakini hapa sina ninaye mjua pale uhamiaji au mtu ambaye alishawahi kufanya kazi uhamiaji na hivyo sina referee except kichwa changu tu. Sasa wenye utaalam na oral interview za uhamiaji hebu wekeni wepesi kwa kijana mwenzenu angalau kwa kutoa possible question ambazo naweza kumbana nazo pale ili kijana nipige msuli kama naenda kupiga UE.
JAMAN MSAADA WA MASWALI AU AREA AMBAZO NATAKIWA nisome KUJIANDAE KWA AJILI YA ORAL YA UHAMIAJI YA ASSISTANT INSPECTOR.
THANKS
JAMAN MSAADA WA MASWALI AU AREA AMBAZO NATAKIWA nisome KUJIANDAE KWA AJILI YA ORAL YA UHAMIAJI YA ASSISTANT INSPECTOR.
THANKS