jannelle
JF-Expert Member
- Feb 8, 2020
- 536
- 1,003
Hi champions..
Currently Wengi wameongelea juu ya kuiomba serikali kuondoa riba ya 6%, Ile inayotozwa na bodi ya mikopo
ya elimu ya juu HESLB kwa kila mnufaika(per year),ikihusisha maumivu kwa kukua kila mwaka(ikizingatiwa ajira Ni ngumu kwa wapendwa wetu).
Bt nimewaza guys
Hatuwezi anzisha option ya kutumia akiba ya NSSF/PSSSF etc, katika kulipa madeni ya bodi ya mikopo hata kabla ya muda wa kustaafu?
God willing
Currently Wengi wameongelea juu ya kuiomba serikali kuondoa riba ya 6%, Ile inayotozwa na bodi ya mikopo
ya elimu ya juu HESLB kwa kila mnufaika(per year),ikihusisha maumivu kwa kukua kila mwaka(ikizingatiwa ajira Ni ngumu kwa wapendwa wetu).
Bt nimewaza guys
Hatuwezi anzisha option ya kutumia akiba ya NSSF/PSSSF etc, katika kulipa madeni ya bodi ya mikopo hata kabla ya muda wa kustaafu?
God willing