We acha wogaa, kama hujapewa semina utajaza nini, -----? Jf isingekuwepo ungeuliza wapi? Mwenyewe n mwl na hizo form nilipewa tangu 2011 bila maelekezo ya namna ya kuzijaza, niliziweka kabatini hadi jana nilipopekua nikakuta zimetafunwa na panya,lkn mbona daraja nmepanda mwaka huu bila kujaza Opras? Tatizo letu walimu woga umezidi ila niombeeni mungu nataka kuanzisha harakati kupigania haki za walimu nchi nzima. Siogopi kung'olewa kucha!!!