Oprah Content on being 'a never married woman'

Msikilize Oprah halafu ndo u comment.

Wengine hatutaki kuoa precisely because wadada wazuri hawajaisha.

so u won't get married b'se u're not capable of handling responsibilities!!? thats what oprah said
 

Mkuu hapo kwenye red: Mara nyingi wakishagonga 30s bila kuolewa wanaamuaga kuzaa na mpita njia yeyote. Kwa hiyo wanakuwaga na watoto lakini baba wa watoto ni confidential! Wanaolea yatima na watoto wa kuadopt ni wale wanaojijua kuwa they are infertile.
 

huyo oprah ni freemason hawafagiliagi ndoa hao usikute ni lesbian
 
Hahahahaaaaaaaaaa! What regrets? She still have ample time to change her decision! I bet you the world she wont! Oprah cant just tolerate LYING TO HERSELF!!!!!!!!!

Oprah atawadanganya wengi mno
deep down anazo regrets....
ni kwamba now its too late....
pesa zoote zile zitaishia charity tu
nafikiri kuwa wife na kuwa mother ni vitu ambavyo kila mwanamke
anapenda experience.....hata kama kuna dirvoce huko mbele,au watoto kuwa hasara tupu
 
Anae bwana kwa miaka mingi tu ila hajaolewa. Technically ni kama ameolewa ama ni kimada. Anachokiogopa huyu Opra ni yale yaliomtokea JLo. Hataki aje aachane na mume halafu aishie kumtajirisha mtu






Technically kashaolewa. Ila anakwepa baadhi ya majukumu.Kama kweli angekuwa anapinga kuolewa basi asiwe na mtu kabisaaaa
 

daaaah!umenena,,,
 
Mke mwema hutoka kwa Bwana.

Naye ataijenga nyumba yake mwenyewe. Atamheshimu na kumtii mume wake.

Mke -------- huibomoa nyumba yake mwenyewe.

Amina.

Weekend njema wanaume wenzangu tuliooa wake wema.


Hapo unamaanisha yule aliyeachika ndiye mke mwema!!!!?
 

HAHAHHAAAAAAAA! Sasa umekuwa msemaji wake wa her inner most things! Truth is its just your thoughts playing tricks on you!!!!!!!!!!

Kuwa mother sio kila mtu anapenda! Lasivo wasingezishusha engine kwa kasi! Some people just wish to end their generation with themselves.

Na kuwa Wife like wise sidhani kama Oprah ana penda kihivooo! Kama mtu aliweza kupata vigumu kama kuwa world sucessfull talk show host, given her palace and reputation before society eyes ingekuwa likely hata kwake kuwaziba mdomo tu kwa kufanya what is expected of her! Ila she choose THE HARD ROAD! To remain true to herself! She lets you speculate, curse, do whatever your heads play trick on you but as long as she is true to herself it doesnt matter!!!!!!!!!

Mimi binafsi sitamani and i even get phobias just thinking the possibility of being a broke wife, or a poor mother who cant provide to them little toddlers! If my fate is like that ill challange my destiny by never marrying or having kids i cant raise! Soetimes you gotta sacrifise your self to challange your fate!
 
Technically kashaolewa. Ila anakwepa baadhi ya majukumu.Kama kweli angekuwa anapinga kuolewa basi asiwe na mtu kabisaaaa

Kuolewa ni kujicommit kwa mtu forever sio sawa na kuwa na mtu mnakula goodtimes tu, mkikerana kila mtu asepe! Hawajaona ni BF na GF
 
Kwahio hutaoa kwa sababu huwezi kumudu responsibilities za ndoa!? thats what oprah think

The deeper message aliyotoa Oprah ni kwamba, ndoa has unrealistic expectations, na kama yeye angekuwa kaolewa na Steadman wangekuwa washaachana, kwa sababu ile change of status kuwa "mume" au "mke" inaleta change of expectations.

Sasa hivi hakuna expectations.

Kama umemsikiliza vizuri Oprah, kasema Steadmam angeanza kumfanyia zile za ki-mfumodume za "we mwanamke niletee chai hapa" not exactly in those words, sasa Oprah ndo anasema wangekosana.

Lakini sasa hivi wanaishi poa tu kwa sababu Steadman hawezi kutoa commands na demands za ajabu kwa sababu hawajaoana.

So kwangu mimi, tena kwa mifumo yetu, the more pertinment issue would be kwamba sitaki perks za ndoa kwa mwanamme more than kuogopa responsibilities.

Responsibility gani? Responsibility is my middle name, I eat it for lunch every weekday, why should I fear it?

I just don't subscribe to the entire idea of that institution.Too much hoopla for something that really should be between two people.Especially in our culture where we don't even have a word for eloping.

If there is one I don't know it.

How do you say "Let's elope" in Swahili? Or any tribal language?
 
Oprah anaweza kuwa 'selfish' vilevile

hakutaka ku 'sacrifice' kwa mtu yeyote

kwake yeye its all about her

self centered and selfish woman...

What's wrong with being selfish?

Halafu how can you say somebody ambaye amekuwa charitable kama yeye kuanzisha projects kibao za kijamii, far and wide, kwamba ni selfish?

Wewe umefanya nini zaidi yake? Kama hujafanya basi na wewe ni selfish.

Tena ni selfish zaidi kwa kutaka Oprah aishi kama unavyotaka wewe, na si kama anavyotaka yeye.

Who is selfish now?
 
Ndoa ni wito, sio wote walioitwa kuingia kwenye ndoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…