Imekuaje,.. Iyo oppo
Anaomba msaada kiongozi.
Sijaelewa anaomba msaada wa kuijua au imeharibika sehemu,
mkuu ni simu nzuri sana hio soc yake ya snapdragon 660 ni nzuri sana kwa simu za mwaka huu, ila angalia na bei.
kama bei yake inafikia oneplus 5 basi op5 ni simu nzuri zaidi ila ikiwa chini ya hapo huwezi pata simu yenye nguvu kushinda hio.
Wewe ni ke mkuu?Anaomba msaada kiongozi.
mkuu machine hii ni kali ukilinganisha na simu kama zipi?Upo sahihi mkuu...nina week mbili sasa tangu nikamate oneplus 5 64GB.....hii machine ni hatari sana. Ali wanaisukuma kwa $507 including shipping to TZ.