Opinion: Uteuzi wa James Mbatia ni "Political Tactics, Strategies na Manouvering to Tame M4C?!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,582
113,795
Wanabodi,

Uteuzi wa James Mbatia kuwa mbunge wa kuteuliwa ni kitendo tuu, wengi wanajadili matokeo ya uteuzi huo wakidhani Mbatia nae atapewa uwaziri wowote au unaibu, kiukweli, Mbatia hatapewa uwaziri wowote wala unaibu!.

Watakaukwaa uwaziri ni Prof na Mama Mbene, Mbatia atabaki hivyo hivyo alivyo kwa kazi maalum!.

Linapofanyika jambo, wengi hutazama matokeo ila wachache hujiuliza the motive behind uteuzi huo!. Kwa maoni yangu, Uteuzi wa Mbatia ni maandalizi ya replacement ya Mrema 2015 ili kuwazuia Chadema wasichukue jimbo!. Mrema is a spent force, by 2015 he will be too exorsted and worn out. Bunge la 1995, James Mbatia ndiye mbunge aliyeingia bungeni kwa kura nyingi sana, alishinda kwa kura 69,000 plus!. Kwa vile Moshi wanachagua mtu na sio chama, na CCM inajua wazi, haiwezi kiushinda Moshi mjini wala Vunjo, CCM wameamua kumset Mbatia kwa kumjengea momemtum ili Mrema asigroom successor na kwa vile ivumayo ni CDM, then kuuzuia sunami ya M4C ya CDM isiikumbe Vunjo!.

Hizi zinaitwa long time political tactics, strategies na manouvering. Chadema kama wanaangalia mbali, wanatakiewa kiuanza kujipanga mapema kutengeneza possible line-up ya wagombea wao kwa 2015 ili wajioteshe mizizi kabla. Wakiambiwa hawajajipanga, wanakasirika!, CCM imechokwa ila inaanza kujipanga!. Sometimes simba aliyejeruhiwa ni hatari zaidi kuliko simba aliye fit!. CCM wamejeruhiwa vibaya Arumeru, wanasubiri kipigo Arusha!, hivyo wameanza kujipanga kujiweka vizuri kukomboa baadhi ya majimbo!. Mfano wameshajua jimbo la Moshi mjini, Ndesamburo hatagombea tena kwa sababu zile zile za Mrema kutogombea 2015. CCM inajua haiwezi kuchaguliwa hata kwa dawa, hivyo ili kulipoka jimbo la Moshi mjini toka Chadema, lazima li groom mtu kutoka NCCR ili kumzuia Ndesapesa kuweka Successor!.

Haya ni maoni tuu!.

Pasco
 
sasa profesa atapewa vp wakati hatoapishwa mbaka bunge lijalo au unataka kusema JK ataitisha bunge maalum?? inamaana wizara itakaa kipindi chote bila waziri ili kumsubiri profesa aapishwe tu???? na Janet Mbene alikua mbunge wa viti maalum (Kinondoni) na namjua personally sasa huo uwaziri kwanini asimpe kipindi chote hicho?? ni mchumi mzuri tu!! acheni blah blah bwana! hatoki waziri kati ya hao!!
 
Mkuu umenena, swala la kuwa na wagombea ambao wanaweka mizizi mapema jimboni ni muhimu sana. kitendo cha kupata mgombea vodafasta wakati wa uteuzi huwa si rahisi kupata mtu aliye makini na mwenye kukubalika na sehemu kubwa ya jamii ile. Ni lazima wagombea wakajenge chama majimboni kwao ili watu wawajue, siyo kukimbilia tu wakati wa uteuzi.
 
sasa profesa atapewa vp wakati hatoapishwa mbaka bunge lijalo au unataka kusema JK ataitisha bunge maalum?? inamaana wizara itakaa kipindi chote bila waziri ili kumsubiri profesa aapishwe tu???? na Janet Mbene alikua mbunge wa viti maalum (Kinondoni) na namjua personally sasa huo uwaziri kwanini asimpe kipindi chote hicho?? ni mchumi mzuri tu!! acheni blah blah bwana! hatoki waziri kati ya hao!!
Usemayo yana ukweli ndani yake
 
Nakubaliana na maoni yako Pasco na saa ingine ccm wanataka kihamishia watu kujadili inshu ya Mbatia wao wakapiga deal hapa kati, so far so good na doubt ikiwa mbatia pamoja na kushikwa mkono/jengewa momentum mapema hivi atalikomboa jimbo la Vunjo ama lolote
 
Wanabodi,

Uteuzi wa James Mbatia kuwa mbunge wa kuteuliwa ni kitendo tuu, wengi wanajadili matokeo ya uteuzi huo wakidhani Mbatia nae atapewa uwaziri wowote au unaibu, kiukweli, Mbatia hatapewa uwaziri wowote wala unaibu!.

Watakaukwaa uwaziri ni Prof na Mama Mbene, Mbatia atabaki hivyo hivyo alivyo kwa kazi maalum!.

Linapofanyika jambo, wengi hutazama matokeo ila wachache hujiuliza the motive behind uteuzi huo!. Kwa maoni yangu, Uteuzi wa Mbatia ni maandalizi ya replacement ya Mrema 2015 ili kuwazuia Chadema wasichukue jimbo!. Mrema is a spent force, by 2015 he will be too exorsted and worn out. Bunge la 1995, James Mbatia ndiye mbunge aliyeingia bungeni kwa kura nyingi sana, alishinda kwa kura 69,000 plus!. Kwa vile Moshi wanachagua mtu na sio chama, na CCM inajua wazi, haiwezi kiushinda Moshi mjini wala Vunjo, CCM wameamua kumset Mbatia kwa kumjengea momemtum ili Mrema asigroom successor na kwa vile ivumayo ni CDM, then kuuzuia sunami ya M4C ya CDM isiikumbe Vunjo!.

Hizi zinaitwa long time political tactics, strategies na manouvering. Chadema kama wanaangalia mbali, wanatakiewa kiuanza kujipanga mapema kutengeneza possible line-up ya wagombea wao kwa 2015 ili wajioteshe mizizi kabla. Wakiambiwa hawajajipanga, wanakasirika!, CCM imechokwa ila inaanza kujipanga!. Sometimes simba aliyejeruhiwa ni hatari zaidi kuliko simba aliye fit!. CCM wamejeruhiwa vibaya Arumeru, wanasubiri kipigo Arusha!, hivyo wameanza kujipanga kujiweka vizuri kukomboa baadhi ya majimbo!. Mfano wameshajua jimbo la Moshi mjini, Ndesamburo hatagombea tena kwa sababu zile zile za Mrema kutogombea 2015. CCM inajua haiwezi kuchaguliwa hata kwa dawa, hivyo ili kulipoka jimbo la Moshi mjini toka Chadema, lazima li groom mtu kutoka NCCR ili kumzuia Ndesapesa kuweka Successor!.

Haya ni maoni tuu!.

Pasco

CCM hofu yao iko katika nafasi ya urais na sio ubunge, tena wa jimbo moja tu. JK hawezi kutimia nafasi yake ya kuteua mbunge kwa ajili ya jimbo ambalo hata hawajui mgombea wa CDM atakuwa nani. Nafasi hizi zinatumiwa kwa uangalifu sana ndio maana mpaka sasa bado ziko wazi. Mbatia ni mwenyekiti wa chama na bado ni kijana. Kwa kawaida wenyeviti wa vyama ndio wanakuwa wagombea. Mbatia amepoteza mvuto kwa wananchi lakini ameonyesha anaweza kuyamudu mapigo ndani ya chama chake. Ni dhahiri akiwa mbunge ataendelea kushika nafasi ya uenyekiti na hatimaye atagombania uraisi. Wanachofanya ni kujenga potential presidential candidates wengi kwenye kambi ya upinzani ili kugawa kura za upinzani na hatimaye mgombea urais wa ccm apate ahueni aweze kupita. Wanajua CCM haiwezi kuongeza kura hivyo ni bora kupunguza kura za CDM.
 
Sina uhakika kama momentum hii 'anayojengewa' Mbatia itamsidia!! Mimi naona anamalizwa kisiasa! No one will trust him from now on!!
Nakubaliana na hoja ya wagombea kujijenga mapema majimboni!!
 
CCM hofu yao iko katika nafasi ya urais na sio ubunge, tena wa jimbo moja tu. JK hawezi kutimia nafasi yake ya kuteua mbunge kwa ajili ya jimbo ambalo hata hawajui mgombea wa CDM atakuwa nani. Nafasi hizi zinatumiwa kwa uangalifu sana ndio maana mpaka sasa bado ziko wazi. Mbatia ni mwenyekiti wa chama na bado ni kijana. Kwa kawaida wenyeviti wa vyama ndio wanakuwa wagombea. Mbatia amepoteza mvuto kwa wananchi lakini ameonyesha anaweza kuyamudu mapigo ndani ya chama chake. Ni dhahiri akiwa mbunge ataendelea kushika nafasi ya uenyekiti na hatimaye atagombania uraisi. Wanachofanya ni kujenga potential presidential candidates wengi kwenye kambi ya upinzani ili kugawa kura za upinzani na hatimaye mgombea urais wa ccm apate ahueni aweze kupita. Wanajua CCM haiwezi kuongeza kura hivyo ni bora kupunguza kura za CDM.
Well said ningependa hii ndiyo iwe thread kuliko aliyoanzisha Pasco.
 
CCM hofu yao iko katika nafasi ya urais na sio ubunge, tena wa jimbo moja tu. JK hawezi kutimia nafasi yake ya kuteua mbunge kwa ajili ya jimbo ambalo hata hawajui mgombea wa CDM atakuwa nani. Nafasi hizi zinatumiwa kwa uangalifu sana ndio maana mpaka sasa bado ziko wazi. Mbatia ni mwenyekiti wa chama na bado ni kijana. Kwa kawaida wenyeviti wa vyama ndio wanakuwa wagombea. Mbatia amepoteza mvuto kwa wananchi lakini ameonyesha anaweza kuyamudu mapigo ndani ya chama chake. Ni dhahiri akiwa mbunge ataendelea kushika nafasi ya uenyekiti na hatimaye atagombania uraisi. Wanachofanya ni kujenga potential presidential candidates wengi kwenye kambi ya upinzani ili kugawa kura za upinzani na hatimaye mgombea urais wa ccm apate ahueni aweze kupita. Wanajua CCM haiwezi kuongeza kura hivyo ni bora kupunguza kura za CDM.
Jembe Ulaya, asante kunifungua macho kwa mtazamo huu nadhani hii sasa ndio inaweza kuwa the motive behind!.
 
Huyu jamaa alisema uchaguzi uliopita alitaka kugombea Vunjo ila akamheshimu babu Mrema maana alikua mgombea ila bila shaka huu ni mkakati wa kumweka tena kwny ramani ya siasa kwa manufaa ya magamba na maslahi yao binafsi. M4C kwa vunjo yapaswa ianze mapema na mtu mwenye kubaliwa maana lile jimbo linasifa kuu ya kuangalia mgombea zaidi ya chama
 
Wanabodi,

Uteuzi wa James Mbatia kuwa mbunge wa kuteuliwa ni kitendo tuu, wengi wanajadili matokeo ya uteuzi huo wakidhani Mbatia nae atapewa uwaziri wowote au unaibu, kiukweli, Mbatia hatapewa uwaziri wowote wala unaibu!.

Watakaukwaa uwaziri ni Prof na Mama Mbene, Mbatia atabaki hivyo hivyo alivyo kwa kazi maalum!.

Linapofanyika jambo, wengi hutazama matokeo ila wachache hujiuliza the motive behind uteuzi huo!. Kwa maoni yangu, Uteuzi wa Mbatia ni maandalizi ya replacement ya Mrema 2015 ili kuwazuia Chadema wasichukue jimbo!. Mrema is a spent force, by 2015 he will be too exorsted and worn out. Bunge la 1995, James Mbatia ndiye mbunge aliyeingia bungeni kwa kura nyingi sana, alishinda kwa kura 69,000 plus!. Kwa vile Moshi wanachagua mtu na sio chama, na CCM inajua wazi, haiwezi kiushinda Moshi mjini wala Vunjo, CCM wameamua kumset Mbatia kwa kumjengea momemtum ili Mrema asigroom successor na kwa vile ivumayo ni CDM, then kuuzuia sunami ya M4C ya CDM isiikumbe Vunjo!.

Hizi zinaitwa long time political tactics, strategies na manouvering. Chadema kama wanaangalia mbali, wanatakiewa kiuanza kujipanga mapema kutengeneza possible line-up ya wagombea wao kwa 2015 ili wajioteshe mizizi kabla. Wakiambiwa hawajajipanga, wanakasirika!, CCM imechokwa ila inaanza kujipanga!. Sometimes simba aliyejeruhiwa ni hatari zaidi kuliko simba aliye fit!. CCM wamejeruhiwa vibaya Arumeru, wanasubiri kipigo Arusha!, hivyo wameanza kujipanga kujiweka vizuri kukomboa baadhi ya majimbo!. Mfano wameshajua jimbo la Moshi mjini, Ndesamburo hatagombea tena kwa sababu zile zile za Mrema kutogombea 2015. CCM inajua haiwezi kuchaguliwa hata kwa dawa, hivyo ili kulipoka jimbo la Moshi mjini toka Chadema, lazima li groom mtu kutoka NCCR ili kumzuia Ndesapesa kuweka Successor!.

Haya ni maoni tuu!.

Pasco

John Mrema naamini ataipeperusha vyema bendera ya Chadema Vunjo. Ngoja tutapambana kumpa madiwani wakutosha. Kwa upandewa Moshi Mjini Mstahiki Meya Jaffari Michael inshallah yakiwa mapenzi yake Mola atatutetea wanyonge Mjengoni baada ya Ndesa-pesa.
 
NCCR wamepigwa magoti na rungu la polisi, kunyanyuka mara moja sijui, itawachukua muda.
 
Mi navyoamini mbatia hana lake tena kwenye siasa za Tanzania ngoja apewe ili naye apozee hapo uchungu wa kukosa jimbo la kawe
 
Back
Top Bottom