Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,582
- 113,795
Wanabodi,
Uteuzi wa James Mbatia kuwa mbunge wa kuteuliwa ni kitendo tuu, wengi wanajadili matokeo ya uteuzi huo wakidhani Mbatia nae atapewa uwaziri wowote au unaibu, kiukweli, Mbatia hatapewa uwaziri wowote wala unaibu!.
Watakaukwaa uwaziri ni Prof na Mama Mbene, Mbatia atabaki hivyo hivyo alivyo kwa kazi maalum!.
Linapofanyika jambo, wengi hutazama matokeo ila wachache hujiuliza the motive behind uteuzi huo!. Kwa maoni yangu, Uteuzi wa Mbatia ni maandalizi ya replacement ya Mrema 2015 ili kuwazuia Chadema wasichukue jimbo!. Mrema is a spent force, by 2015 he will be too exorsted and worn out. Bunge la 1995, James Mbatia ndiye mbunge aliyeingia bungeni kwa kura nyingi sana, alishinda kwa kura 69,000 plus!. Kwa vile Moshi wanachagua mtu na sio chama, na CCM inajua wazi, haiwezi kiushinda Moshi mjini wala Vunjo, CCM wameamua kumset Mbatia kwa kumjengea momemtum ili Mrema asigroom successor na kwa vile ivumayo ni CDM, then kuuzuia sunami ya M4C ya CDM isiikumbe Vunjo!.
Hizi zinaitwa long time political tactics, strategies na manouvering. Chadema kama wanaangalia mbali, wanatakiewa kiuanza kujipanga mapema kutengeneza possible line-up ya wagombea wao kwa 2015 ili wajioteshe mizizi kabla. Wakiambiwa hawajajipanga, wanakasirika!, CCM imechokwa ila inaanza kujipanga!. Sometimes simba aliyejeruhiwa ni hatari zaidi kuliko simba aliye fit!. CCM wamejeruhiwa vibaya Arumeru, wanasubiri kipigo Arusha!, hivyo wameanza kujipanga kujiweka vizuri kukomboa baadhi ya majimbo!. Mfano wameshajua jimbo la Moshi mjini, Ndesamburo hatagombea tena kwa sababu zile zile za Mrema kutogombea 2015. CCM inajua haiwezi kuchaguliwa hata kwa dawa, hivyo ili kulipoka jimbo la Moshi mjini toka Chadema, lazima li groom mtu kutoka NCCR ili kumzuia Ndesapesa kuweka Successor!.
Haya ni maoni tuu!.
Pasco
Uteuzi wa James Mbatia kuwa mbunge wa kuteuliwa ni kitendo tuu, wengi wanajadili matokeo ya uteuzi huo wakidhani Mbatia nae atapewa uwaziri wowote au unaibu, kiukweli, Mbatia hatapewa uwaziri wowote wala unaibu!.
Watakaukwaa uwaziri ni Prof na Mama Mbene, Mbatia atabaki hivyo hivyo alivyo kwa kazi maalum!.
Linapofanyika jambo, wengi hutazama matokeo ila wachache hujiuliza the motive behind uteuzi huo!. Kwa maoni yangu, Uteuzi wa Mbatia ni maandalizi ya replacement ya Mrema 2015 ili kuwazuia Chadema wasichukue jimbo!. Mrema is a spent force, by 2015 he will be too exorsted and worn out. Bunge la 1995, James Mbatia ndiye mbunge aliyeingia bungeni kwa kura nyingi sana, alishinda kwa kura 69,000 plus!. Kwa vile Moshi wanachagua mtu na sio chama, na CCM inajua wazi, haiwezi kiushinda Moshi mjini wala Vunjo, CCM wameamua kumset Mbatia kwa kumjengea momemtum ili Mrema asigroom successor na kwa vile ivumayo ni CDM, then kuuzuia sunami ya M4C ya CDM isiikumbe Vunjo!.
Hizi zinaitwa long time political tactics, strategies na manouvering. Chadema kama wanaangalia mbali, wanatakiewa kiuanza kujipanga mapema kutengeneza possible line-up ya wagombea wao kwa 2015 ili wajioteshe mizizi kabla. Wakiambiwa hawajajipanga, wanakasirika!, CCM imechokwa ila inaanza kujipanga!. Sometimes simba aliyejeruhiwa ni hatari zaidi kuliko simba aliye fit!. CCM wamejeruhiwa vibaya Arumeru, wanasubiri kipigo Arusha!, hivyo wameanza kujipanga kujiweka vizuri kukomboa baadhi ya majimbo!. Mfano wameshajua jimbo la Moshi mjini, Ndesamburo hatagombea tena kwa sababu zile zile za Mrema kutogombea 2015. CCM inajua haiwezi kuchaguliwa hata kwa dawa, hivyo ili kulipoka jimbo la Moshi mjini toka Chadema, lazima li groom mtu kutoka NCCR ili kumzuia Ndesapesa kuweka Successor!.
Haya ni maoni tuu!.
Pasco