Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Ndugu wana jf ,kila mtu atakubaliana nami kuwa kuna umuhimu wa kuanzisha operesheni 'utalii' kama ilivyokuwa operesheni sangara.nasema hivi kwa sababu mikoa muhimu ya kiutalii mfano Arusha na Moshi imeonyesha muamko na uelewa mkubwa katika kuondoa uozo katika maeneo yaani local councils na uwakilishi bungeni.kumbuka haya yametokea bila kuwa na jitahada makhsusi za chadema katika eneo hili.Hivyo kiushauri chadema inahitaji ku-secure eneo hili kwa nguvu zote.CHADEMA IMEWASHIWA TAA YA KIJANI KUELEKEA NOTHERN CIRCUIT OF TOURISM.naomba kuwasilisha