Rome was not built in a day!Pote CDM mnakopita nasikia mnapokea kadi za uanachama wa vyama vingine na kutoa kadi zenu; sijasikia mkitoa na katiba ya CDM kwa hao viongozi wanaochaguliwa? Hao wanaovunwa ukiacha msamiati wa UFISADI wanafahamu tofauti nyingine kati ya CDM na vyama vingine?
Bila shaka unaogelea CCM.Hiki chama kimekosa mvuto Mtwara vijijini, kimetusaliti waislam
Kakojoe ulale!Usiwadanganye watu wa Mtwara hawataki kusikia CDM, jana wamejidanganya kufungua matawi, leo nimepita Ligula, Lilungu, Chikongora, Majengo, Vigaeni, Chuno, Magomeni, Rahaleo matawi yaliyofunguliwa jana, YAMEWEKWA BENDERA za CCM, Murji anatisha!
Usiwadanganye watu wa Mtwara hawataki kusikia CDM, jana wamejidanganya kufungua matawi, leo nimepita Ligula, Lilungu, Chikongora, Majengo, Vigaeni, Chuno, Magomeni, Rahaleo matawi yaliyofunguliwa jana, YAMEWEKWA BENDERA za CCM, Murji anatisha!
Mlitika umeeleweka...USA Democratic wanajulikana wao wanatetea tabaka la chini Republican wao wanatetea uchumi mkubwa. CCM utambulisho wake ni wakulima na wafanyakazi; natamani nifahamu CDM utambulisho wenu ni nini?Rome was not built in a day!
Ni mara chache utakuta post NZURI kama hii! What a consoling message! Kweli makamanda wamejipanga. It really warms my heart! Thanx n00b for such a wanderful post!
Kama wewe unauhakika na ulichoandika hapa nijibu,Rahaleo mkutano walifanyia wapi ,waliongozwa na nani na hilo tawi walifungua wapi?,usichanganye watu tafadhari.
Baada ya jana kufanya mikutano ya hadhara, kufungua matawi na kuweka uongozi wa muda kata zote 15 za Wilaya ya Mtwara Mjini, leo Operesheni Okoa Kusini imeingia vijijini.
Ratiba ya leo Wilaya ya Mtwara Vijijini ni ifuatavyo: Timu ya Mwenyekiti Freeman Mbowe itakuwa Kata za Madimba na Tangazo, Timu ya Makamu Mwenyekiti Said Mohamed Issa itakuwa Kata za Msanga Mkuu na Ziwani, Timu ya Katibu Mkuu, Dkt. Slaa itakuwa Mtimbilimbwi na Nanyamba, Timu ya John Mnyika itakuwa Nanguruwe na Mayanga, Timu ya Tundu Lissu itakuwa Nitekela na Milangominne, Timu ya John Heche itakuwa Bilimba na Mnima, Timu ya Godbless Lema itakuwa Mtinjiko na Mbembaleo, Timu ya Ezekia Wenje itakuwa Kata za Kitere na Libobe.
Kazi ni ile ile mikutano ya hadhara, mikutano ya ndani, kufungua matawi, kusimika uongozi wa muda kuelekea uchaguzi wa ndani kuanzia Juni 1 mwaka huu!
Kujenga oganaizesheni ya chama kuanzia vijijini mpaka mjini, kueneza elimu ya uraia, hasa suala la katiba mpya, kuendelea kudai uwajibikaji wa serikali kwa wananchi katika ngazi zote hasa ktk kushughulikia vyanzo vya matatizo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, yanayoikabili nchi kwa sasa, badala ya kushughulikia matokeo ya matatizo hayo kama inavyofanywa na serikali ya CCM hivi sasa.
Hiki chama kimekosa mvuto Mtwara vijijini, kimetusaliti waislam
Ndachuwa; CHADEMA = Chama cha Demokrasia na MaendeleoMlitika umeeleweka...USA Democratic wanajulikana wao wanatetea tabaka la chini Republican wao wanatetea uchumi mkubwa. CCM utambulisho wake ni wakulima na wafanyakazi; natamani nifahamu CDM utambulisho wenu ni nini?
Hiki chama kimekosa mvuto Mtwara vijijini, kimetusaliti waislam
Kwa style hii ni lazima nyoka atoke pangoni tu