Operesheni KIMBUNGA yaanza rasmi

Kwa nini wahutu wabaki halafu waondoke watusi tu?
 
Mkuu zoezi hili haliwezi kuwa na efficiency ya 100% na kesi za watu wawili watatu haziwezi kuonesha kuwa zoezi halikwenda kihalali...

Hapa kinachofanywa ni propaganda tu za kitusi na hasa kutoka RWANDA, mbona wahutu wanarudishwa na hatusikii kelele??

Kwa nini watusi tu???
 
Kwani kabla ya mgogoro na Rwanda jk ulikua wapi kufanya hiyo opareshen?
 
Zoezi hili /Operation hii isiishie kwa Wahamiaji haramu kutoka Rwanda, Burundi na Uganda tu. Liendelezwe kwa Wahamiaji haramu wote kutoka China, Somalia, Kenya, DRC na nchi nyingine yoyote ile. Zoezi hili likilenga makundi machache litakuwa la kibaguzi. Tunataka wahamiaji haramu wote watimuliwe bila kujali nchi wanazotokea.
 
Jeshi la Polisi, Jeshi la Kujenga Taifa, Usalama wa Taifa na pamoja na Jeshi la Wananchi wa Tanzania. HAKIKISHENI hakuna MTUTSI YOYOTE ANAEBAKI, mara 100 akabaki Mrundi au Mkongo kuliko hawa Watutsi. Huko DRC walianza hivi hivi ila leo dunia nzima inaona nini kinachoendelea kufanywa na Watutsi kupitia M23. Wakizaliana sana Ipo siku Watataka Kagera, Geita n.k kuwa hayo maeneo ni yao na wapewe hifadhi ya kudumu. Damu ya Kitutsi haibebeki, 1994 wakati wanachinjana kwao Rwanda wengi walikimbilia Congo na wengine wakaja hapa. Na hao hao ndio waliomtukana Rais Kikwete. Damu za Wakongo Milioni 3 walizozimwaga DRC ni lazima ziwalilie kila waendapo.
 
sikushiriki kwa namna yoyote kutetea ubaguzi na uvunjaji wowote wa haki za binadamu.
 
hawaangalii sura tu mkuu!!kuna mambo mengi sn ya kiinteligensia yanachunguzwa,wanaulizwa maswali na team za watu ambao ni professionals,hivyo hakuna atakae onewa!!!!sura na lafudhi ni moja tu ya items za uchambuzi unaotumika kuwatambua!!!
I know you're joking. Huyo hakimu aliyeshambuliwa alitendewa haki?
 
Talk about the efficiency of a corrupt bureaucracy. Jamaa zako hawa kila kinachokatiza mbele yao wanaona ni fursa ya utajirisho.
 
Hekima na busara isipotumika katika zoezi hili halitaleta tija kwa taifa.
 
Swali la kufikirisha.

Enzi za uhai wake Mwl Julius K. Nyerere alisema tukianza na ubaguzi wa huyu Mtanganyika na yule Mzanzibar mjue haitaishia hapo, kesho mtaanza huyu mmakonde wa rufiji na yule mmakonde wa musumbiji, na hii imeshaota mizizi leo hii sio kitu cha kushangaza kuwaona wasukuma au wamasaii wakichomewa nyumba zao moto eti tu kwa vile wako kusini mwa TZ au kwingineko eti nao ni wahamiaji / wafugaji haramu.P/se tuwe makini natukifanyacho.
 
katika
hali isiyo ya kawaida wiki hii ni mshike mshike wa kujificha kwa
wahamiaji haram; ambao wengi wao ni wanamziki wa kikongo: matapeli wa
kinajeria; mabaa medi na mahotelia wa kikenya wengi wakiwa katika hali
ya taharuki; kwa ufupi watanzania wengi wamepata nafuu hasa kwa ndugu
zetu wakongo ambao tunawapigania wapate utulivu wafaidi madini yao
yanayochukuliwa na m23 na ukoo wa pk. Watanzania mbali na kuwa punda wa
makada wa chama fulani ; wakipata fedha zao uishia kuwapa wakongoman
ambao kwa kawaida uitwa mario au defender au TRA kwani wana mbinu
nyingi za kukusanya mapato toka wa Tz kwa njia ya kuwasifia na
kuwaimba. Mtz akiitwa papa mukru ya pamba uota mapembe ghafla na kumwaga
maela utafikiri katoka machimbo kumbe sembe imemtoa. Sasa kinondoni
magomeni na msasani hapakaliki wale wakina mpe mruke hawapo tena
 
Zoezi hilo lisiishea kuwatimua wahamiaji haramu katika mashamba na mapori ya akiba wanakulisha ngombe na mifugo yao bali liingia pia kuwarudisha makwao wageni haramu walio Serikalini na katika majeshi yetu. Mweshimiwa Rais Kikwete fungua macho uone wapo wengi sana ndani ya Serikali yako na katika majeshi yetu nao waondolewe.
 
Mhe. Kiwete amekuja na operation timua timua ya wakimbizi na wote wanaoishi hapa nchini TZ kinyume na sheria. Lakini wakati wanaingia hapa nchini sheria hizo zilikuwepo na hazikufuatwa namna ya kuwaangalia wasije wakahesabika kuwa ni raia wa Tz.

Inasikitisha kwa jinsi suala hili linavyochukuliwa na vyombo vya Serikali imeonekana kuwa ni 'dili' kwa baadhi ya maafisa Uhamiaji na vyombo vya usalama.

Sasa kinachoonekana hata kama unafanana na Wanyarwanda au Mzaire tu una hatari ya kukamatwa na kulazimishwa kusipokuwa kwenu.

Jana imejitokeza kabisa kwa rafiki yangu walimshikiria kwa muda hapa kanda ya ziwa , hali ilikuwa mbaya maana wanasema hauna hati ya uraia.

Hivi jamani Hati inayotambulika kwa sasa ni kitambulisho cha mpiga kura ambacho wengi tunavitumia pia kama vitambulish vya uraia maana mchakato wa Vitambulisho vya uraia upo slow sana. Ok jamaa alikuwa na kitambulisho cha mpiga kura na kitambulisho cha kazi na pia passport ya TZ.

Na hizi documents hata wale wakimbizi na wanaoishi nchini kinyume na sheria wengi wanavyo, linapokuja suala la kuwarudisha kule wanaposema kwao linakuwa gumu mwisho wa siku watarudishwa watanzania na kuacha wakimbizi hapa nchini.

Na kwa hali hii operation hii imeanza kufeli kabisa. Maana wanaoishi humu isivyo halali na si watanzania wanaachwa wanakamatabtu watanzania wenzetu kwa kufananisha tu na Wazaire au wanyarwanda.

Ningeomba wote vyombo vya usalama liangalie namna ingine ya kushughulikia suala hili siyo tu kuvamia guest house , mahotelini usiku ha hata bus terminals na kuleta usumbufu kwa raia wa Tanzania.

Just imagine leo umekata ticket upo Ubungo unajiandaa kuja Mwanza na ni raia halali wa Tz then unakamatwa , unapoteza nauli na. Usumbufu mwingine na mwisho wa siku wanakuachia baada ya kuthibitika kuwa wewe ni raia wa Tanzania bila kulipwa usumbufu uliojitokeza. Jamani nchi hii inaelekea pabaya sana.

Kama waliwaruhusu kuingia na wakashindwa kuwahudumia kufuata sheria inakuwaje leo raia tunyanyaswe hivi????
nawasilisha.
 
Hivi kwanini nyie mnaojiunga JF siku za karibuni huwa mnasumbua sana? Ndivyo kagame alivowatuma? Kwenu kurudi mtarudi tu.
 

Hii oparesheni irudiwe
 
Huyo Kikwete tena kaingia vip hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…