Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #41
Angalau wanarkebisha ofisi zao...nafikiri umeona ukumbi wa Dodoma,ofizi za Lumumba nk..nk...jiulize mamilioni ya Mzee Sabodo yameyeyukia wapi?Ofisi karibu zote za ccm zilijengwa kwa michango ya wananchi wote wakati huo au raslimali za umma.Ni afisi IPI ya ccm ambayo walitumia mapato yao tu kuijenga?ama kiwanja walitumia mabavu auudaganyifu kukipata.