Operation UKUTA: Hit n run tactic

Mbona kama mnataka kubadili gia angani kama kawaida yetu? Iwe inazungumzwa au la acheni uwoga na kujificha. Tarehe 1 Sept. tokeni mkaandamane nchi mzima. Mambo ya oooh imefanikiwa ni kuandaa wafuasi wenu kisaikolojia ili ionekane kushikana ukuta kumefanikiwa tayari kabla ya tarehe yenyewe.
 
asante kwa matangazo
 
Mapovuu
 
Ushauri wa bure amua mwenyewe kupata kichapo au kukaa nyumbani na familia yako
 
Ushauri wa bure amua mwenyewe kupata kichapo au kukaa nyumbani na familia yako
 
Ushauri wa bure amua mwenyewe kupata kichapo au kukaa nyumbani na familia yako
 
Ushauri wa bure amua mwenyewe kupata kichapo au kukaa nyumbani na familia yako
Unadhani Polisi mfano waue mwandamanaji eneo fulani kitakacho tokea hapo wewe na familia yako mtakuwa salama ndani ya nyumba wakati pengine ya jirani yako inachomwa moto?
Hali kama hii ya muhimu kuishauri serikali iwasikilize na wengine ili kuepusha madhara.
Kwani wewe mwana ccm sehemu yako ya biashara ikiharibiwa na kuingia umasikini ccm itakufidia kwa vile hukuandamana? Hapana, bali waweza kuwa wewe ndio umeathirika kuliko hata aliyefukuzana na mabomu.
Suluhisho serikali iseme mikutano na maandamano ruksa kwa utaratibu ule wa awali na kufuata kanuni basi.
 
Dhana ya UKUTA ni kuhakikisha chadema angalau wanasikika kwa raia, wakikaa kimya bila ya hata kufanya upuuzhi basi JPM atawapoteza kwa jinsi anavyokubalika kwa watanzania wengi, hii ni strategy ya chadema ya kuwapa airtime.
 
Tanzania ina siasa fake wengi wa viongozi wa upinzani ni undercover agent!! raia tunaumiza vichwa bure.....cha msingi tutii sheria tuheshimu watawala wetu
 
Kwa upande mwingine Ukuta umewafungua wanyonge Machinga waliokuwa wamepigwa Marfuku kupanga budhaa zao barabarani, kwa sasa ni ruksa tena toka juu mfano mzuri ni Mwanza na Dar, hii yote ni hofu ya Ukuta kuwa vijana wawe bize ili wasishiriki Ukuta, haya ni mafanikio makubwa. Mbwembwe nyingine zote kwa sasa zimetelekezwa, hakuna cha kuhamia Dadodo, majipu, Tanzania ya viwanda, teua tengua, watu wemewekwa bize na Ukuta, haya ni mafanikio ya nia halisi ya Ukuta. Wenye shuhuli yenyewe ya ukuta hawajautangaza Ukuta kama vile Wapambe walivyo na wanavyoutangaza na kubabaikanao. Haya ndio madhara ya kukataa au kukandamiza demokrasia kwakuwa itakulazima kuwachunguza wanapanga nini na lini ili ujipange kupambananao na kusahau nia na malengo yako mkakati, unajipata unatumia muda mwingi kuzunguka Nchi nzima sio kutoa shukrani kwa kuchaguliwa bali kuutangaza Ukuta huku ukiachana na majukumu yenya manufaa kwa Wanachi kwa kipindi fulani pasipo na sababu au faida kwa Taifa.
 
Mkuu Chakakaza hawa ndo Masaburi alisema wanafikiri kwa kutumia kiungo tofauti!yeye anadhani kwakuwa hatashiriki maandamano atakuwa salama.
 
Alinadiwa huyu jamaa ataua upinzani unfortunately imekuwa vice versa. Kwel mjini akili nguvu shamba
 
U. UKITAKA
K. KUVUNJWA
U. UTI WA MGONGO
T. TAREHE MOSI
A. ANDAMANA
 
Inawezekana kuwa imefanikiwa kujijenga ila kumbuka imepunguza imani ya jeshi la polisi/vyombo vya ulinzi kwa wapinzani. Ndiyo maana tundu lissu alisema mahabusu si pahala pazuri. Nyie mashabiki mtaona sawa ila viongozi wenu wanakipata cha moto.
Unaimanisha imepunguza imani ya jeshi la polis kwa wananchi?

Wapinzani hawapaswi na wala haitegemewi watafute kuaminiwa na jeshi la polis kwenye mfumo huu wa siasa. Nijukumu la Jeshi la polis kutafuta kuaminiwa na wapinzani na wananchi kwamba linafanya kazi kwa misingi ya uadilifu kwa kufuata kanuni ya kutofungamana na Chama chochote.

Mpaka sasa upinzani Umefanikiwa kuonyesha jamii ya Tanzania na kimataifa upendeleo wa jeshi la polis. Na zaidi Umefanikiwa kujenga Chuki dhidi ya polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…