Operation UKUTA: Hit n run tactic

Bila changamoto ya CDM Magufuli angepatikana wapi??
Lazima muiheshimu CDM na makamanda wake, maana CCM iliisha geuzwa genge la wanyanganyi!!
Kama unabisha muulize Mhs Rais JPM, kama ni kada wa kupiga subiri sasa ukatumbuliwe!!
Mtumishi Wetu hakuna anayebisha juu ya hilo, ila sasa hiyo ndiyo sababu ya kumtukana na kufanya juhudi za kumkwamisha asifanye kazi? Je ni sahihi mnavyojiapiza mitaani kuwa Dr JPM na serikali yake hafiki 2020??? Je mna ajenda gani yuma ya pazia?? Je kwa nini kila akitumbua kama ni mtu wa kazikazini mnasema ni fitina?? Mfano yule wa bilioni kwa dakika wa arusha eti mnasema ni fitina kwa sababu alimsapoti lowasa??? Yaani huo unafiki wenu ndiyo utawapoteza, hakuna mtanzania mjinga tena wa kufanywa toilet paper kama mnavyowafanya misukule yenu chadema, watu sasa wanajielewa
 
Mshana: I see you as a great man who is very logical and soon I will give you a present. Mimi sina chama lakini point zako hapo juu zaukweli.
 
Mudawote ni wazi hatuwezi kuwa na mjadala tena kwakuwa nilichoandika mimi na ulichoandika wewe ni sawa na mbingu na nchi
Maana yangu ni very simple tusiwe na post wala reply za matusi kwa wanasiasa kwakuwa nje ya siasa maisha yapo...nimekuuliza unionyeshe ni wapi nimemtukana Magufuli umeshindwa
Tunatofautiana kitu kimoja mimi na wewe...najadili hoja na mfumo wewe unajadili watu binafsi na maisha yao...kwa njia hii hatuwezi kuwa na mjadala wenye tija wala afya
 
Ccm ni chama chakavu kilichojaa watu wenye mbinu za kishamba sana , hakika UKUTA inatangazwa zaidi na ccm.
 
Mshana: I see you as a great man who is very logical and soon I will give you a present. Mimi sina chama lakini point zako hapo juu zaukweli.
Am HUMBLED kaka
 
EL ni mamluki wa CCM, itafika wakati UKAWA wataamini hili. Yule mtu sio mpinzani kama tunavyodhani, sema wengi tuna mkurupuko wa asili, no reasoning zaidi ya kuzungusha mikono.
 
Kiongozi, hata wewe unamkashifu mkulu, sema you do it in a manner that few understand. Siasa zetu zimekuwa za personal attacks kwa viongozi zaidi ya hoja. Huyu atamsema JK, mwingine EL na mwingine JPM...that's how we argue.
 
Hata kipindupindu kilikuwa maarufu nchini mwishoni mwa mwaka jana. Hiyo haimaanishi wananchi walikipenda. Kwenye siasa ukiwa hupendwi huna chako.
 
Kipondo kiko pale pale kwa watakaoleta vurugu kwa mujibu wa sheria.
 
Kiongozi, hata wewe unamkashifu mkulu, sema you do it in a manner that few understand. Siasa zetu zimekuwa za personal attacks kwa viongozi zaidi ya hoja. Huyu atamsema JK, mwingine EL na mwingine JPM...that's how we argue.
Nitashukuru ukinionyesha japo sentence moja ya kashfa...natumia jina halisi naandika kwenye mstari unaokubalika kisheria, kwahiyo siwezi kumkashifu yoyote kwasababu ya siasa au nje ya siasa
 
Hawa ndio vijana wanaotegemewa na ccm na ndani ya JF ndio sehemu ya Greater thinkers, jitahidi wewe na wale wengine kujenga hoja zenye kuleta mantiki na kuamsha mjadala na sio mipasho kama hii.... ID bandia zisiwapeni uhuru ulipitiliza kwakuwa mwisho wa siku utabaki wewe kama wewe lakini uhalisia utakuhukumu
 
EL ni mamluki wa CCM, itafika wakati UKAWA wataamini hili. Yule mtu sio mpinzani kama tunavyodhani, sema wengi tuna mkurupuko wa asili, no reasoning zaidi ya kuzungusha mikono.
Mpinzani ni ZZK pekee Tanzania
 
Pamoja na hayo yote lakini twende mbele turudi nyuma hoja ya CHADEMA kupinga kitu kinachoitwa "UDIKTETA UCHWARA". Ni hoja yenye mashiko sana. Haiwezekani hata kidogo katika nchi ya kidemokrasia ya vyama vingi kiongozi mkuu wa nchi kinyume kabisa cha katiba aliyoapa kuilinda apige marufuku mikutano ya vyama vya siasa mpaka mwaka 2020. I don't see any tangible reason to derogate the right of freedom of assembly (freedom to meet together) at this time.
 
UKAWA imejaa mastrategic personnel..!!huenda wapinzani wake till 2020 watakuwa hawajafanya hata theluthi ya walicho ahidi mfano ujenzi wa viwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…