bobezi
Member
- Mar 10, 2013
- 63
- 11
lembeli...mwenyekiti wa kamati atoa taarifa nzito ya operation Tokomeza
zito..waziri mkuuu awajibike
mbatia..ni tatizo la kimfumo,ni mfumo wa kifisadi
naibu spika...ripot hii ilikuwa siri hata mm ckuwa najua kitu
Yaani bungeni kumepamba moto na bunge limekuwa moja la kitaifa na wooote wanaungana
zito..waziri mkuuu awajibike
mbatia..ni tatizo la kimfumo,ni mfumo wa kifisadi
naibu spika...ripot hii ilikuwa siri hata mm ckuwa najua kitu
Yaani bungeni kumepamba moto na bunge limekuwa moja la kitaifa na wooote wanaungana