operation tokomeza...

bobezi

Member
Mar 10, 2013
63
11
lembeli...mwenyekiti wa kamati atoa taarifa nzito ya operation Tokomeza
zito..waziri mkuuu awajibike
mbatia..ni tatizo la kimfumo,ni mfumo wa kifisadi
naibu spika...ripot hii ilikuwa siri hata mm ckuwa najua kitu

Yaani bungeni kumepamba moto na bunge limekuwa moja la kitaifa na wooote wanaungana
 
Back
Top Bottom