Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,056
- 1,867
Yalioikuta nccr na cuf sasa yanaikuta chadema.Hata kuku akichinjwa lazima aruke ruke kisha ndio atulie tuli.Namuomba mungu anipe uhai ili nishuhudie chadema ikiyeyuka kama barafu.
Yalioikuta nccr na cuf sasa yanaikuta chadema.Hata kuku akichinjwa lazima aruke ruke kisha ndio atulie tuli.Namuomba mungu anipe uhai ili nishuhudie chadema ikiyeyuka kama barafu.
Jana tukiwa Kisesa tumekamilisha jumla ya mikutano mia moja na saba tangu kuanza kwake,mafanikio ni makubwa sana kwa maana kwamba tumevuna maelfu ya wanachama na tumeimarisha chama kwa maana ya uongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa yaani misingi.
Leo tuko jimbo la Kishapu na mapambano yanasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Tuombeeni,mtandao ukitulia nitawarushieni picha kuonyesha jinsi magamba yanavyoteketea...nakishukuru chama changu cha chadema kwa kuniamini na kunipa fursa hii adimu,nilitamani siku zote kuwa THE VOICE OF THE VOICELESS ...nawasilisha.
umejidhalilisha sana .Dili nyingine ya kupiga hela kwa viongozi wa chadema.Aisee wachaga ni noma.
Mungu akuongezee mara dufu patakapopungua kamanda .Nimepoteza namba yako kamanda, simu yangu ilifuta namba zote, unaweza ku-pm tukaongea na kukuongezea nguvu kiasi fulani. Keep it up!
Jana tukiwa Kisesa tumekamilisha jumla ya mikutano mia moja na saba tangu kuanza kwake,mafanikio ni makubwa sana kwa maana kwamba tumevuna maelfu ya wanachama na tumeimarisha chama kwa maana ya uongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa yaani misingi.
Leo tuko jimbo la Kishapu na mapambano yanasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Tuombeeni,mtandao ukitulia nitawarushieni picha kuonyesha jinsi magamba yanavyoteketea...nakishukuru chama changu cha chadema kwa kuniamini na kunipa fursa hii adimu,nilitamani siku zote kuwa THE VOICE OF THE VOICELESS ...nawasilisha.