Operation chaos UKAWA hawana pa kushika!

Operation chaos UKAWA hawana pa kushika!

Nikijibu hoja zako nami nitaonekana kama jingajingalao hivi!
 
Kabla hawajamaliza sintofahamu ya nani aliyemkaribisha lowassa na kumpa fursa ya kugombea!

Kabla hawajamalizana na hoja kuntu za Slaa!

Kabla hawajafuta machungu ya kuachwa na Lipumba!

Kabla hawajamaliza mtafaruku wa kuachiana majimbo!

Kabla hawajamaliza sintofahamu ya nani afanye nini kwenye kampeni kati ya makapi na asilia!

Kabla ya kumalizia kuandaa ilani!

Kabla ya kuelezea ni nini watawafanyia wananchi!

Kabla hawajamfundisha na kumuwezesha mgombea wao kuongea kwa muda mrefu na kueleweka!

Kabla ya Viongozi kusafisha hali ya mambo katika majimbo wanayogombea!

CCM inazidi kuongeza spidi huku wakianzisha mashambulizi mapya na ya kushtukiza.

BYE BYE Ukiwa!

hizo mbinu zilikuwa za miaka ya 1920 lakin kwa karne hii ccm mnajisumbua bureee na wananchi wameshafanya maamuzi tayar.ni kwa LOWASSA TU
 
Kabla hawajamaliza sintofahamu ya nani aliyemkaribisha lowassa na kumpa fursa ya kugombea!

Kabla hawajamalizana na hoja kuntu za Slaa!

Kabla hawajafuta machungu ya kuachwa na Lipumba!

Kabla hawajamaliza mtafaruku wa kuachiana majimbo!

Kabla hawajamaliza sintofahamu ya nani afanye nini kwenye kampeni kati ya makapi na asilia!

Kabla ya kumalizia kuandaa ilani!

Kabla ya kuelezea ni nini watawafanyia wananchi!

Kabla hawajamfundisha na kumuwezesha mgombea wao kuongea kwa muda mrefu na kueleweka!

Kabla ya Viongozi kusafisha hali ya mambo katika majimbo wanayogombea!

CCM inazidi kuongeza spidi huku wakianzisha mashambulizi mapya na ya kushtukiza.

BYE BYE Ukiwa!
Kila kukicha unazidi kuwa jinga zaidi. Kesho utakuwa pumbavulao!
 
Hivi kashfa ya Epa, Escrow, Madawa za kulevya, Twiga kwenda ughaibu , Mabehewa fake na vichwa treni ya CCM &Kashfa ya Richmond ya UKAWA, ipi imelitia Taifa hasara? Mbona inazungumziwa deal moja tu? Tuwekeeni mezani fact toka pande zote tujue ipi ilituumiza zaidi

Sababu jizi la Richmond linataka urais.
 
Ni bora kumpa fisadi moja kuliko fisadi kumi. Watanzania tuamke.kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
 
Kabla hawajamaliza sintofahamu ya nani aliyemkaribisha lowassa na kumpa fursa ya kugombea!

Kabla hawajamalizana na hoja kuntu za Slaa!

Kabla hawajafuta machungu ya kuachwa na Lipumba!

Kabla hawajamaliza mtafaruku wa kuachiana majimbo!

Kabla hawajamaliza sintofahamu ya nani afanye nini kwenye kampeni kati ya makapi na asilia!

Kabla ya kumalizia kuandaa ilani!

Kabla ya kuelezea ni nini watawafanyia wananchi!

Kabla hawajamfundisha na kumuwezesha mgombea wao kuongea kwa muda mrefu na kueleweka!

Kabla ya Viongozi kusafisha hali ya mambo katika majimbo wanayogombea!

CCM inazidi kuongeza spidi huku wakianzisha mashambulizi mapya na ya kushtukiza.

BYE BYE Ukiwa!

pumbavu
 
Ishu sio ccm kuongeza mashambulizi. Ishu ni watanzania kujitambua. Ila nimeamini watanzania husahau shida zao kwa vitu vichache sana. Leo hii tumeshasahau kwamba watoto wetu wanakalia matofali. Ukienda hospital ndo usiseme. Ila hatuujui wakati unaofaa

Mkuu hakuna kitu kinachoniuma nikiyafikiria hayo,, lakini bado napata shida pia kufikiri miongoni mwa watu walioshiriki kutuletea hizo shida pia tunao na tunawashabikia sasa nashindwa hata pa kusimamia mpaka mwisho wa siku natamani hata kutopiga kura,, na pia nafikiria kumpa kura magufuri maana huyu jamaa tunamjua kwa uchapaji kazi wake..
 
Ukawa tujitahidi kupata wabunge wengi tubadilishe katiba. Kwa urais lowasa ni janga. Mbowe katukosesha urais kwa kumwacha Dr Slaa aliyekuwa na msimamo na ujasiri kuikomboa nchi yetu kutoka kwa mafisadi.
 
Ni bora kumpa fisadi moja kuliko fisadi kumi. Watanzania tuamke.kizuri chajiuza kibaya chajitembeza

Mkuu unaweza kufikiri ni mmoja kumbe unazungumzia taasisi au kikundi cha watu kikiongozwa na yeye,, tuWe wakali kwa hawa wanasiasa ili waache maigizo na uwongo.. wanasiasa hawawezi kutuletea maendeleo,, mapinduzi ya fikra yanatakiwa miongoni mwetu ili wanasiasa watujue sisi ni watu wa namna gani Kwa maana ya misingi na misimamo yetu!!!
 
Lowassa atakapoanza kutema cheche najua wote mtazama shimoni
 
Ukawa tujitahidi kupata wabunge wengi tubadilishe katiba. Kwa urais lowasa ni janga. Mbowe katukosesha urais kwa kumwacha Dr Slaa aliyekuwa na msimamo na ujasiri kuikomboa nchi yetu kutoka kwa mafisadi.

Bro LOWASSA pia atasababisha tukose hiyo idadi ya wabunge tuitakayo maana nguvu kubwa imehamia kwake wakati kuna maeneo wabunge wetu hali ni mbaya,, mfano mnyika,kubenea,wenje,kiwia,vicent nyerere, ma kule ukerewe.. sijui itakuwaje Ngoja tuone hii movie..
 
Huyu jinga lao ana elimu gani? Kama amesoma basi elimu haijamsaidia au labda ni laana aliyoachiwa
 
Ndio wanaotumiwa na lowassa

lowasa unamjua unamsikia....!!! angalia wafuasi wa lowasa na wa magamba...uone akina nani wametinga skul...!!! hata hivyo unaonekana we ni fuvu la kale...!! nenda skul sio unakurupuka tu kama kinyampo
 
Back
Top Bottom