Operation Chaos: Lowassa, Chenge, Rostam et al; Don't Quit CCM!

inasikitisha kuona mambo ya msingi kama suala la radar raisi alilipuuzia.
 
Viongozi ni viziwi, vipofu na wajinga. Zaidi ya yote hao wanaojiita usalama wa Taifa wameoza kwani ndio wanaowalinda hao viongozi vipofu, viziwi na wajinga ili waendelee kutawala
 
Kweli Kikwete na hiyo timu yako tunaomba mlaaniwe maana mliamua kumtosa mzee Sita kisa eti alikuwa akiruhusu mijadala ambayo ilikuwa ikiwagusa ninyi, sasa mkaamua kutuwekea PILATO wa kike anayetoa maamuzi sawa na PILATO aliyetoa hukumu ya kucharazwa viboko kwa Yesu, huyu speaker anawatumikia na kuwalinda Mafisadi wa nchi hii akiwemo kinara wao Lowasa.
 

uraisi 2015 hadi watanzania tubaguane wenyewe kwa wenyewe, kama hawa ni wazalendo kna wenzao ndani ya uvccm sio wazalendo kwanini bado wapo ndani ya jumuia hiyo? Unafiki wa kutafuta urais
 
Hao wamekosa cha kufanya, tokea lini mwizi akampeleka mwizi mwenzake Mahakamani huku wote ni wahusika na ushahidi upo, fanyeji mambo mengine tu UVCCM
 
LOwassa alishasema ikifika wakati akachoka na kelele zinazopigwa juu yake juu ya yeye kuitwa Fisadi, sasa atalazimika kusema hata yale ambayo alikuwa hataki kuyasema, mnataka kumuumbua mpaka Raisi wenu wa nchi sasa,
 
LOwassa alishasema ikifika wakati akachoka na kelele zinazopigwa juu yake juu ya yeye kuitwa Fisadi, sasa atalazimika kusema hata yale ambayo alikuwa hataki kuyasema, mnataka kumuumbua mpaka Raisi wenu wa nchi sasa,
Sasa hivi ndiyo serikali inajifanya inataka chenji ya rada wakati wa kesi walikuwa hawaonekani. Hivi kwa nini wabunge wa ccm + Cheyo nao wamejiingiza kwenye huu mkenge. Hivi ni hela za nani zimewapeleka huko uingereza wakati BAE ilishatoa tamko kuwa hizo hela tutazipata thru NGO. Nashindwa kuelewa kwa nini watanzania ni mbumbum hivi. Wanatafuta hizi hela wazichakachue tena. I am tired of illusions!
 

Wewe hujui wakisafiri hivi wanalipwa posho ya usafiri - perdiem?. Kimsingi kilichowapeleka UK ni posho waliyolipwa kwa ajili ya safari na siyo kufuatilia pesa za Rada. Bila shaka pesa wanayotumia ni za walipa kodi wa Tanzania.
 
Hao wamekosa cha kufanya, tokea lini mwizi akampeleka mwizi mwenzake Mahakamani huku wote ni wahusika na ushahidi upo, fanyeji mambo mengine tu UVCCM

Tatizo lao hawasomi alama za nyakati, hawajui CCM imefika ukingoni. Hawa vijana ni ma oportunist, wamekula chaka.
 
LOwassa alishasema ikifika wakati akachoka na kelele zinazopigwa juu yake juu ya yeye kuitwa Fisadi, sasa atalazimika kusema hata yale ambayo alikuwa hataki kuyasema, mnataka kumuumbua mpaka Raisi wenu wa nchi sasa,

Ametishia nyau siku nyingi akidhani kwamba kauli hiyo itakuwa kinga kwake. Aliposhtukiwa na Mwalimu miaka ile, aliiba na JK? Hivi unadhani anampenda huyo Rais kiasi cha kumstahi kama anavyodai? Kama anaweza kumsingizia mtoto wa Rais mauongo yote hayo, angeshindwaje kusema yale ya ukweli kuhusu rais kama yapo? Jamaa yuko kwenye kona, anataka kujiokoa na anadhani kauli hiyo itatusahaulisha dhambi zake. Kamwe hatutamsamehe!
 
I hate to pat myself on the back. Hawa jamaa wamefuata ushauri vizuri. Na Rostam akafuata ushauri wangu vizuri. So... operation chaos is still on. The best thing fo EL na AC to do is to go back kwenye majimbo yao kufanya mikutano ya hadhara kuzungumzia mafanikio ya CCM as if nothing is going on..
 

I was looking for this one maana baada ya kusoma ile thread ya yaliyotokana na CC nikajikuta naikumbuka sana hii thread! Thanks.
 
I was looking for this one maana baada ya kusoma ile thread ya yaliyotokana na CC nikajikuta naikumbuka sana hii thread! Thanks.

yeah nilikusoma ikabidi niende kuitafuta. Ila CCM imejionesha kuwa iko dhaifu sana. Yaani, kama RA asingejiuzulu kwa ajili ya biashara zake wote wangekuwa bado wamo...
 
yeah nilikusoma ikabidi niende kuitafuta. Ila CCM imejionesha kuwa iko dhaifu sana. Yaani, kama RA asingejiuzulu kwa ajili ya biashara zake wote wangekuwa bado wamo...

Tena kuliko wakati wowote ule, lakini yote hii inatokana na kufanya mambo kutegemea busara za mwenyekiti ambaye in today's CCM terms ni mwenyekiti is alwayz right, lazima aungwe mkono no matter what. Yaani hilo tamko lao ni full vague statements, hakuna specifics hata mahala pamoja. Maybe ni just kutimiza wajibu anyways tusioipenda hiyo GOP ni furaha yetu.
 
So.. stay put, enjoy your position, work like ever before and don't mind the new CCM leadership. They can't do a damn thing.

And this is exactly what is happening, kweli bongo tambarare!!!!!!!!!
 
this is great!! maana vinginevyo wataonekana wanawaonea tu. Unless walete specific charges against them, la kusema kuwa waachie ngazi kwa maslahi ya chama haingii akilini.
 
this is great!! maana vinginevyo wataonekana wanawaonea tu. Unless walete specific charges against them, la kusema kuwa waachie ngazi kwa maslahi ya chama haingii akilini.

Wanawaogopa na sababu kubwa pengine ni ushirika wao na wale ambao CCM hiyohiyo inataka tuamini ni wasafi! Kubwa kuliko ni JK na Mkapa, maana how do you accuse Chenge ukamwacha Mkapa au do the same to EL ukamwacha JK?
 
Je wanajamvi mnadhani EL & AC wanaweza kujiondoa gamba chamani pasipo kumwaga mboga? Nijuavyo mimi, unless wameahidiwa mambo mazuri kwenye business zao au post nyingine (may be nje ya nchi), ni vigumu kuondoka kwa shinikizo la kitoto namna hii. Kimsingi kama alivyosema Mwanakijiji, labda waje na specific charges against them. Hii ina maana charges hizo, lazima ziwalenge hao EL& AC peke yake, lakini endapo in the process mzee wa kaya na magwiji wengine watakuwa implicated, jitihada hizo zitafutika na kuonekana ni uzushi mtupu.
 
Kuondoka kwao ni mwiba kwa CCM,kutokuondoka ni mwiba kwa CCM.
Wao kwa nafasi zao wapime tu ukubwa wa tatizo.
Ama CCM ife wakiwemo ama waiache ife yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…