Operation Barracuda: "Mission hatari ya kijasusi nchini Kongo"

Ukisoma "HEART OF DARKNESS" kila kitu kilichoandikwa humu utakikuta. Huyu jamaa alijitahidi Sana, kutafsiri novel nzima sio mchezo.
 
Nyuzi kali kama hizi huwa tuna like kwanza then tunarudi nyuma kusoma neno kwa neno.
 
Uzi haujatembea. Wana JF tunakwama wapi.
Kusoma bado ni mtihani mpaka karne hii kwa mtu mweusi. Hakika tuna safari ndefu.
Laiti utajiri huu wa Kongo ungekua hapa kwetu, leo tungekua ni sisi ndio tunalia na kusaga meno.
Ukiisoma hii unasisimkwa na kulengwa na machozi. Mpaka kesho naikumbuka documentary yake kichwani mwangu. Iliniliza.


Apumzike kwa amani Lumumba 'Son of Africa'. Bega kwa bega mpaka peponi kesho siku ya hukumu.
 
Hata hapa Tanzania hizi makala ipo siku zitaanza kujitokeza,,, japo ni kwa kificho sana ila kuna mengi yanaendele...

Hususani Raisi JPM kifo chake ndio huwa sielewi hadi leo ilikuwaje...
 
Ukisoma "HEART OF DARKNESS" kila kitu kilichoandikwa humu utakikuta. Huyu jamaa alijitahidi Sana, kutafsiri novel nzima sio mchezo.
Hivi kwanini wabongo tunapenda kukosoa tu na kujifanya wajuaji? Kila mtu anafahamu kwamba ukitaka taarifa lazima usome vitabu mbali mbali na kucompile ili kupata picha nzima. Sasa unaposema mtu katafsiri tu ulitegemea asitumie kitabu chochote?

Comred Mbwana Allyamtu kafanya narration nzuri na flow inayoeleweka na kuvutia, na huo ndio uandishi. Tujifunze kutoa appreciation sio kuleta ujuaji tu.
 
Hata hapa Tanzania hizi makala ipo siku zitaanza kujitokeza,,, japo ni kwa kificho sana ila kuna mengi yanaendele...

Hususani Raisi JPM kifo chake ndio huwa sielewi hadi leo ilikuwaje...
Mkuu ni Covid 19 which coincided with heart failure. Top doctors wa JKCI mbona wana data zote, hakuna mission yoyote ni changamoto ya kiafya iliyokuwepo muda mrefu. Hata kampeni si uliona alikua anachoka sana?
 
OPERATION BARRACUDA: "MISSION HATARI ZAIDI YA KIJASUSI KUFANYIKA AFRIKA" ILIYOSUKWA KUTAMATISHA MAISHA YA PATRICE LUMUMBA, NA KUZIMA NDOTO YA KILE KILICHOITWA MUSTAKABALI WA KONGO
Mkuu kwanza hongera kwa uzi wenye madini ya kutosha namna hii, tunahitaji watu kama nyie ili JF irudi katika ubora wake.

Lakini kwenye issue ya Lumumba nadhani alikosea kuonyesha msimamo wake mapema sana. Ilitakiwa ajifanye kibaraka mpaka pale nchi nzima iwe imetulia alafu sasa ndio aonyeshe makucha yake.

Mfano Felix Tshisekedi si umeona alijifanya kibaraka wa Kabila ila alipopewa tu Urais akahakikisha amekamata idara zote muhimu ndio akaonyesha makucha yake. So nadhani Lumumba hakua mwanasiasa otherwise ingekua ngumu kummaliza.
 
Operation ya jiwe nayo naisubiri nayo niikakati kama ya lmb

Time will tell kikubwa afya
 
Pole Sana na sijuhi unashida gani,naona unakurupuka tu, uwe unatuliza akili kwanza aliyekosoa ni nani, kutaja kitabu na kusema mtu kajitahidi kutafsiri Novel ndiyo kukosoa? au hujuhi maana ya kukosoa au hukuelewa nilichokiandika? inaonekana hasira zinakusumbua. Ulitakiwa utoe komenti yako usonge mbele, na pia sio lazima appreciation unachokiona bora na cha maana mimi naweza kuona cha kawaida kwahiyo tusipangiane namna ya kukomenti.
 
Asante sana kwa kuweka sawa..... Tujifunze kujifunza
 
Kwenye hiyo makala hakuna huu upuuzi wa kutafsri....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…