Onyo la Hatari ya Njaa Tanzania

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,604
Wadau, nimeona taarifa hii inayohusu onyo la hatari ya njaa inayonyemelea maeneo kadhaa ya Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa hii, ni kuwa serikali tayari imeshapewa taarifa (kwa mara nyengine tena, taarifa imetolewa na vyombo vya nje kwa sababu serikali "ilikuwa haina habari), kwa hivyo isisubiri hadi hali imekuwa mbaya. Tumechoka na kauli za "mipango imo njiani, tumeunda kamati kufanya uchunguzi n.k.

Nawasilisha
 
Nadhani hizi ndo habari tunazohitaji,zinasaidia ku broadern mind na kujua utajiwekaje kiusalama zaidi na chakula though my experiance inaonesha wanaohadhirika sana normally na hili swala ni watu wa vijijini ambao wanauza vyakula vyao mapema na wakati mwingine vikiwa bado mashambani,so lesson learn
 
Hili la njaa hakika liko wazi hasa kanda tajwa hapo juu!

Na kwa kuwa tuna serikali DHAIFU yenye kauli hii LIWALO na LIWE ngoja tutaona kauli yao itaishia wapi!

Kama gunia moja ya nafaka jamii ya mahindi haijauzwa Tsh. 150,000/= tukae na tutaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…