Onyo kwa mpaka rangi kucha

mkuu kumbe ni wewe,andaa kabisa wosia

eeeh yashakuwa hayo tena,
duuu haya endelea nae ila miguu yake laini sana,hata mimi alinambia nna mikono lain kwaio chunga asije akatoroka kwenda kutafta mikono laini ya wafanyakazi wenzangu,
Mii sipo.
Akuuuu nshajitoa akuu mweeeeeee.
 
Vp wale wamasai wanaosuka nywele? Unakuta mke wa mtu amelalia paja la mmasai. Na mmasai hana kitu ndani zaidi ya lile shuka lake.
 


Mkuu,mahali ulitoa mwaka gani na je wife wako alikuwa na ujauzito wakati unachumbia??!! Samahani lakini!!!

Mkwara huo.!! Kama wewe ni janadume mkanye mkeo na atii hio amri sio kuja hapa jukwaani kuchimba mkwara. Grow up man???

miaka imekwenda kidogo mkuu

we jitie kimbelembele udhani mkwara,kama we ndo mchonga kucha endelea tu,utakiona unachokitafuta

na kichen pat marufuku huwa wanaambiwa awe na mafika matatu akili kukichwa

Duh! Nimeishia kucheka tu!
Kama vipi mchonge mwenyewe tu!

Ok,sasa unaonaje wife wako ukamwambia tu yeye kwanza kuwa hiyo tabia ife au unampenda sana huwezi mwambia??!!

Kama kweli hicho kidume ni mpaka rangi za kucha kweli atakuwa jf??!!

Ni hayo tu Mkuu maana yaelekea hakika mpaka rangi amekukera!!!

makubwa sasa SI umweleze sasa

Jf ya siku hizi bwana!

Kuna mpa rangi mmoja mkongo ahh yule jamaa kwa wake za watu noma


Aisee ......

Hivi huyo mkeo hajui kuwa jambo fulani ni baya hadi uje kiuoga humu ukijidai unachimba mkwara?

Inaonekana wewe ni muoga sana

Ungekuwa ni jasiri wala usingepoteza muda wako kuja hapa!



kama na wewe unatabia za mchonga kucha ndo maana unamsapoti arobaini zako zinakaribia

afu wanajifanya wanajua sana kulea miguu ya wake za watu

nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu,ila sina kumbukumbu nzuri kama niliku pm nikakwambia uje hapa.kama niliku pm basi nisamehe,nitakuwa nimejisahau

nitayatengua hayo mawili

Huyu ndo alilalamika km posts zake zinafutwa. Posts zenyewe ndo hizi.

Hehehehehee

Si bora anamchongea nyumbani....

Kuliko wale wadada wa saluni wanaowaosha vichwa.....

Kumbe na nyie mna wivu eeeeh

asante kwa mchango wako.karibu tena

mkuu,cha mtu cha mtu tu

Cha mtu huliwa na mtu, chuma huliwa na kutu

Uuuuuuh jamani jamani wewe kidume kwahiyo unamuogopa kumuonya Mkeo kwanza Hadi unakuja humu jamani.....

Pokea ushauri utakusaidia acha ubishi kama madiwani huwezi kuwa mjuvi wa kila jambo mdogo wangu!!!

Ashaliwa mkeo....!!

kumnyoa vinyweleo vya kwapani na katikati ya miguu hutaki unajifanya kuona kinyaa...wenzio ndo wanakutafuniaaaaaaaaaaaa mwanaume jitume

Okay...
 
R.I.P (in Advance) Mkata Kucha popote ulipo...

usinipandishe mori mkuu nikamharibu mpaka rangi hata kesho

si anajifanya kidume?

mkuu mbona hayo nayafanya sana

sijaogopa mkuu ila kuna huyu jamaa anataka kunichezea rafu

ni kweli mkuu ila akatafute sehemu nyingine ya kula,sio kwangu


samahani mkuu naona sasa unataka kunichanganya,coz naona kila kona maadui,hasa huyo boda boda dah nae siku zake zinakuja

Braza kaa mbali na kazi yangu,ohoo sii kaniita mwenyewe?
Iheshm kazi yangu tafadhali,
mbona ww dem wangu anaku massage daily pale berber shop.na huzungumzii kitu,wee wako anauma eeh?
Au nimwambie?mkeo
sorry just fun only

mkuu kumbe ni wewe,andaa kabisa wosia

eeeh yashakuwa hayo tena,
duuu haya endelea nae ila miguu yake laini sana,hata mimi alinambia nna mikono lain kwaio chunga asije akatoroka kwenda kutafta mikono laini ya wafanyakazi wenzangu,
Mii sipo.
Akuuuu nshajitoa akuu mweeeeeee.

Vp wale wamasai wanaosuka nywele? Unakuta mke wa mtu amelalia paja la mmasai. Na mmasai hana kitu ndani zaidi ya lile shuka lake.

Okay...
 
Aisee wewe lazima ugongewe na mkata kucha. Mahari yenyewe umelipa laki 2 wakati hiyo pesa watu wanagonga show usiku mmoja kwa demu.
We hapo uliozeshwa mzoga acha mpk rangi afaudu.
 

Mkuu,si uongee na mkeo badala ya kumchimbia mtu mkwala tena mtandaoni?.Mbona hujiamini?
 
Mkuu,si uongee na mkeo badala ya kumchimbia mtu mkwala tena mtandaoni?.Mbona hujiamini?

yote hayo nimeshafanya,saa hizi ni zamu ya mpaka kucha.siwezi kutengana na mama watoto kwa ajiri ya uroho wa mpaka kucha rangi
 
Aisee wewe lazima ugongewe na mkata kucha. Mahari yenyewe umelipa laki 2 wakati hiyo pesa watu wanagonga show usiku mmoja kwa demu.
We hapo uliozeshwa mzoga acha mpk rangi afaudu.

mkuu,hiyo hela umeiona ndogo eeh,unajua niliipataje?unajua nilitumia muda gani kuipata?kama mpaka kucha ndugu yako mwambie urohoutamponza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…