Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
2015 utakuwa mwisho wa WABAKA UCHUMI Siha na Tanzani kwa ujumla kwani nia ni kuingiza damu changa kwenye uongozi kuanzia Wenyeviti wa Serikali za Mitaa,Madiwani na Mbunge kwani hali ya Nchi imefikishwa pabaya na Wazee ambao wameshindwa kuwakemea Ccm.Hakika tutapambana mpaka kieleweke.