Onyo: Dr. Magufuli asizomewe tena


Kwamba wakimzomea na nyire mtamzomea wao, hahahaha VUTA-NKUVUTE bwana!
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwa nini mna tabia ya kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu.Hivi unaamini kabisa kwamba hao waliokuwa wanamzomea Magufuli wamekunywa viroba.Si kweli.Ukweli ni kwamba hao ni watu walioichoka CCM.Ni matusi kuwaambia watu na akili zao wamekunywa viroba.Mnazidi kuwatia watanzania hasira.Inabidi muukubali ukweli,CCM ni chumvi iliyoharibika,haina budi kutupwa.Kujifariji kwamba wanaomzomea Magufuli wamekunywa viroba haitawasaidia.
 

Mwambie mama yako akakusomeshe tena. Kuzomewa ni Dunia nzima na sio Tanzania tu. Watu tumeshaona Marais wana zomewa na kurushiwa viatu na wasomi wa hali ya juu sembuse Tanzania. Kuzomewa ni ishara ya jambo fulani na sio matusi. Kuzomewa kwa magufuli ni ishara ya kwamba hakubaliki/ Hajatimiza matarajio ya wale wanao mzomea.
 
Magufuli wakati anapiga pushup jukwaani, muulize juma nyoso alimfanyia nini..... Haaahaahaa
 
Magufuri kazomewa Mbeya, Mkuranga, Bunju na Mbezi Luisi.
 
Magufuli kama Magufuli hana tatizo kabisa,he is a very hard working man! Tatizo ni kakalia tawi bovu ambalo ni SISIEMU!
Kwa hiyo kinachozomewa apo na vijana ni chama chake..na ndo maana ata yeye (JPM) hasemi ichagueni SiSiEmu!
 

Ni hulka ya wasomi fake. Dawa yao ni kupigwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…