S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,616
- 32,723
Umasikini huu 😊Yaani nimecheka balaaa.
Wabongo noma.
Eti LUKU yenye jina lake.
Embu nikasajili hata LUKU ya jina langu.
Daaaaa
Umasikini huu 😊Yaani nimecheka balaaa.
Wabongo noma.
Eti LUKU yenye jina lake.
Embu nikasajili hata LUKU ya jina langu.
Daaaaa
Halafu we mwamba utakuta unamponda huku kwenye challenge zake unashirikiNyingine hiyo hapooo...!! Angalia alivyokuwa Dumb...View attachment 1561436
Halafu we mwamba utakuta unamponda huku kwenye challenge zake unashiriki
Kuna mjengo alipost akasema kawajengea wazazi wakee....wenye nayo wamejitokeza
Ontario akamatwe afungwe jiwe kubwa sana shingoni.. tena jiwe liwekubwa sanaa atupwe baharini tena katikati ya bahari...
IT inauwanja mpana sanaa na hacking ni uwanja mdogo sana kwenye maswala ya IT....Katangaza dau kwa watu wa IT wahack account zake, wameshindwa .
Ninachompendea huyu jamaa ni vile anavyowapa watu hasira halafu mwenyewe katulia hana muda
Ile sio nyumba ya mil 50 aisee....Jamani acheni utani.
Ontario ashindwe kujenga nyumba ya 50m?
Daaaa
Ni lini matokeo ya chuo yakawa siri? Hata wewe mtu akijua jina lako na umesoma wapi dakika sifuri anaweka matokeo yako hadharani. Kufaulu darasani haijawahi kuwa kigezo cha kupata maendeleo.Watu wamepost mpaka matokeo yake ya Chuoo Jamaa ni mjingaa tuu
Biashara matangazo nduguHuwa napata ukakasi sana mbongo anapokazana kulazimisha kutaka wengine wapihe pesa.kwani ukipiga pesa zako kimya kimya tatizo liko wapi.
Ni mfatliaji wa story zake nyingi zina mikanganyiko. Anahangaika sana na watu wa mtandaoni. Kwanini asijipigie hela zake kimya kimya?
Ila hata kama anawaibia wengine bado kwangu jamaa ni kichwa.
Ni kweli. Lakini Kati ya waliosomea IT hackers wapo. WameshindwaIT inauwanja mpana sanaa na hacking ni uwanja mdogo sana kwenye maswala ya IT....
It's almost impossible kuhack account yenye 2FA authentication.Ni kweli. Lakini Kati ya waliosomea IT hackers wapo. Wameshindwa
huna akili kabisa alaf utakuta na ww ni graduateIt's almost impossible kuhack account yenye 2FA authentication.
Account ya Ontario ya Twitter iko enabled na hiyo encryption.
Its Uncrackable.
Ooh kumbe! Asante kwa elimuIt's almost impossible kuhack account yenye 2FA authentication.
Account ya Ontario ya Twitter iko enabled na hiyo encryption.
Its Uncrackable.
Atakuwaje Genius wakati anao watapeli ni WAJINGA wenzake ?Ni lini matokeo ya chuo yakawa siri? Hata wewe mtu akijua jina lako na umesoma wapi dakika sifuri anaweka matokeo yako hadharani. Kufaulu darasani haijawahi kuwa kigezo cha kupata maendeleo.
Jamaa ana akili..kama kweli anawatapeli watu hadi sasa hivi basi ni genius wa ukweli kwenye sekta hiyo.
Na bado watu watatapeliwa siku zote