Miaka ya 1980s nilitembelea Nsumba sec School,Mwanza,shule ilikuwa na students kama 400 hivi,walikuwa na vyoo vay shimo,walikuwa wanaita Ubush.Ukitoka huko unanuka shati,suruali etc.Kumbuka kulikuwa na flash toilet lakini vilikuwa blocked miaka na miaka.
Kulikuwa na msaada wa NoRAD kuvuta maji ,baadae alikuja mwalimu mkuu mmoja i think 1984,akavitengeneza vyoo hivyo watu wakawa wanaflash tu.Lakini hakuna toilet paper,walikuwa wanatumia makaratasi kwa kuyakunjakunja.
Sishangai hali hiyo ya Lake Sec School,ni shule maarufu mjini Mwanza.Shuke zote ni kama Lake tu.Wanasema pimo la maendeleo ni kuwa na vyoo vya ndani.
angali nchi kama Ujerumani kama wato milllion 80 ,twice as much as Tanzania ,watu wanakunya vyoo vya ndani vya kuvuta!Hawashiki mavi kama sisi!