ndugu, kuna watu hata AVN hawakupata na mpaka dakika hii bado hawajapata, Nacte ukienda miyeyusho tu.. Wanafunzi kibao, foleni mpaka mwenge. Customer care mbovu, tatizo lingine unajibiwa lingine. watu wanakata tamaa hata ya kusoma kwa uzembe wa watu wachache tu ofsini.