Only diploma to degree selection

Samhoodsam

Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
33
Reaction score
6
Napenda tukutane wote wenye qualifications za diploma waliomba vyuo mbalimbali mwaka huu 2017/2018 na either wamechaguliwa au laa pia kama yupo aliyechaguliwa kwa awamu ya kwanza atujuze pia nimelenga vyuo kama ARDHI pia UDOM kwani nahisi kunatatizo, naomba kuwasilisha!!
 
ndugu, kuna watu hata AVN hawakupata na mpaka dakika hii bado hawajapata, Nacte ukienda miyeyusho tu.. Wanafunzi kibao, foleni mpaka mwenge. Customer care mbovu, tatizo lingine unajibiwa lingine. watu wanakata tamaa hata ya kusoma kwa uzembe wa watu wachache tu ofsini.
 
wapo Ardhi nawajua kibao tu wamepata... chek list waliochaguliwa ARDHI utaona hamna form six index number ndo hao hao
 
"Tantaw, post: 23811894, member: 332256"]Umemaliza mwaka gani hapo DIT!?[/QUOTE]
Diploma ya kitu gani na pia GPA ya ngapi tujuze
 
Uclas , wamechukua watu 4 tu waliomaliza diploma ya Ardhi nadhan kuna tatizo, pia cdhan kama mtu una re apply wakati hujajua ukikosea wapi hadi hukuchaguliwa before.
Sasa ukiomba tena bila kujua y b4 hukuchaguliwa c n tatizo?? What if kuna makosa unatakiwa urekebishe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…