pole vip yamekukuta? kakwambia yeye natural beauty afu ukakuta mchina kashafanya yake?Wana MMU. Kutokana na tafiti za mapenzi, watu waliokutana kwa mara ya kwanza na kuwekwa kwenye chumba chenye giza, ikiwa wote hawafahamiani hata kwa sura,wote waliambiana na kuelezana vyema na kila mtu akimweleza mwezie vizuri kwa ukweli wake wa mwenekano na historia zake. Sasa kutokana na tafiti hiyo, watafiti walitegemea mafanikio chanya kwa watu watakao tongozana kupitia mitandao ya kijamii au online dating au social networks au kwa jina la blind dading. Lakini cha kusikitisha sana, online dating au blind dating, imekuwa sanaa na maumivu zaidi. Watu hawaelezani ukweli, watu wanafichana uhalisia wao na kusema uwongo. Watu wanatumia social network kwa malengo zao. Please let us use this technology for good reasons for positive results otherwise tutaendelea kuumizana maana hizi online dating or blind dating imekua shida hasa kwa pande nyingine inayohitaji serious couples au serious commitment in relationship.
Hii inategemea na ntu na ntu, nakumbuka zamani kabla hatujapata teknolojia ya Internet na simu zikiwa ni za TTCL tu tulikuwa na penpal friends Ulaya na ilikuja na positive results kwa kaka yangu RIP alikuja home TZ rafiki yake wa kalamu mswidish na baadaye kaka yangu naye walimualika kwao Sweden kwa gharama zao na bado familia zetu zina mahusiano mema mpaka leo.
Ni ushamba tu kama mtu anamisuse Internet. The world now is connected.
kaka yako alifia ulaya kwa penpal? kumbe nchi hiiutegemezi kwa wazungu umeanza zamani sana..
wana mmu.
Kutokana na tafiti za mapenzi, watu waliokutana kwa mara ya kwanza na kuwekwa kwenye chumba chenye giza, ikiwa wote hawafahamiani hata kwa sura,wote waliambiana na kuelezana vyema na kila mtu akimweleza mwezie vizuri kwa ukweli wake wa mwenekano na historia zake.
Sasa kutokana na tafiti hiyo, watafiti walitegemea mafanikio chanya kwa watu watakao tongozana kupitia mitandao ya kijamii au online dating au social networks au kwa jina la blind dading.
Lakini cha kusikitisha sana, online dating au blind dating, imekuwa sanaa na maumivu zaidi. Watu hawaelezani ukweli, watu wanafichana uhalisia wao na kusema uwongo. Watu wanatumia social network kwa malengo zao.
Please let us use this technology for good reasons for positive results otherwise tutaendelea kuumizana maana hizi online dating or blind dating imekua shida hasa kwa pande nyingine inayohitaji serious couples au serious commitment in relationship.
Okey madam
Khaaa balaaa. Yeyote anayeweka bango anafaham ubora wake na anafaham udhaifu wake.
Haaaa mi sijasema hayoo! Akhaa
Blind dating..mi nakulaga wake za watu tu....kuna mmoja yupo mexico.... Sina pesa tu namdanganyaga nipo US.
Wana MMU.
Kutokana na tafiti za mapenzi, watu waliokutana kwa mara ya kwanza na kuwekwa kwenye chumba chenye giza, ikiwa wote hawafahamiani hata kwa sura,wote waliambiana na kuelezana vyema na kila mtu akimweleza mwezie vizuri kwa ukweli wake wa mwenekano na historia zake.
Sasa kutokana na tafiti hiyo, watafiti walitegemea mafanikio chanya kwa watu watakao tongozana kupitia mitandao ya kijamii au online dating au social networks au kwa jina la blind dading.
Lakini cha kusikitisha sana, online dating au blind dating, imekuwa sanaa na maumivu zaidi. Watu hawaelezani ukweli, watu wanafichana uhalisia wao na kusema uwongo. Watu wanatumia social network kwa malengo zao.
Please let us use this technology for good reasons for positive results otherwise tutaendelea kuumizana maana hizi online dating or blind dating imekua shida hasa kwa pande nyingine inayohitaji serious couples au serious commitment in relationship.
Aniulize nini tena...
Blind dating..mi nakulaga wake za watu tu....kuna mmoja yupo mexico.... Sina pesa tu namdanganyaga nipo US.
Unaelewa ulichokiandika kweli? Au unawala kwa keyboard?
Kama hujaelewa Basi we mlembe inakuhusu.....unawala kwa keyboard ndio lugha gani hiyo...mie sio wa huko mjomba...ha ha ha