haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,475
- 3,538
Kama wewe sio photogenic, basi utulie na udili na wamtaani tu.
Kuna watu hata wavae vipi, wakipiga picha unaona kabisa huyu ni mlugaluga.
Ukimfata mrembo online cha kwanza anakuomba umtumie picha akuone, anataka ajue, je unaonekaje? Unasura personal au unavutia? akiona unasura personal, anahamia kwenye life style, km ndio huna maajabu hadi huko, bas ushapoteza pambano.
Kama we unasura personal, bas ni vyema ukadeal na walio mtaani, huku mtandaoni tuachie sisi. Mimi mambo ya kutongoza nishaacha mana wananitongoza mimi.
Know yourself.
Kuna watu hata wavae vipi, wakipiga picha unaona kabisa huyu ni mlugaluga.
Ukimfata mrembo online cha kwanza anakuomba umtumie picha akuone, anataka ajue, je unaonekaje? Unasura personal au unavutia? akiona unasura personal, anahamia kwenye life style, km ndio huna maajabu hadi huko, bas ushapoteza pambano.
Kama we unasura personal, bas ni vyema ukadeal na walio mtaani, huku mtandaoni tuachie sisi. Mimi mambo ya kutongoza nishaacha mana wananitongoza mimi.
Know yourself.