Aunt Cash
Member
- Feb 3, 2019
- 88
- 97
Habari zenu wakubwa,leo tena kijana wenu nimekuja mbele yenu naomba ushauri kwa mtu ambae anauzoefu na hii biashara ya online (kutangaza na kuuza bidhaa mitandaoni ), kwani nimekuwa nikivutiwa nayo sana lakini nakosa pa kuanzia ,kwa yeyote mwenye kujua yafuatayo kuhusu hii biaahara naomba ushauri wako :
1. Mtaji
2. Sehemu ya kununulia hizo bidhaa kwa bei cheap
3. Changamoto zake
4. Na namna ya kufanya mauzo i mean pay after delivery kwan wengi wanaojitangaza wamekuwa wakisema unafanya malipo baada ya kupokea mzigo
5. Na je inahtajika niwe na duka au store ndo niweze kufanya ?!,
NB: Sitarajii kukutana na majibu kama haya
View attachment 1527006View attachment 1527007
1. Mtaji
2. Sehemu ya kununulia hizo bidhaa kwa bei cheap
3. Changamoto zake
4. Na namna ya kufanya mauzo i mean pay after delivery kwan wengi wanaojitangaza wamekuwa wakisema unafanya malipo baada ya kupokea mzigo
5. Na je inahtajika niwe na duka au store ndo niweze kufanya ?!,
NB: Sitarajii kukutana na majibu kama haya
View attachment 1527006View attachment 1527007