Ongezeko la wanawake wenye vitambi

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
264
Reaction score
381
Niaje wana Jamvi?

Nakumbuka miaka ya nyuma tulizoea kuona wanaume ndo wana vitambi hasa wale wenye fedha japo wachache waliozoea shida nao walikua na vitambi. Ila sasa imekua tofauti na miaka ya hivi karibuni kwani kumekua na ongezeko la wanawake wa rika zote kuwa na vitambi.

Wanawake wengi siku hizi wanavitambi hadi wanapoteza mvuto. Sasa sijui chanzo cha hivi vitambi vyao ni kula kula sana chipsi yai, kunywa sana bia, wanatumia sana njia za uzazi wa mpango au kuridhika na maisha hasa ya kuhongwa?

Unakuta mdada kabinuka mbele na nyuma. Ebu wadada kujeni hapa mtupe siri ya hivyo vitambi vyenu jamani.
 
Kama wanashindana na waume zao kula michemsho hakuna namna lazima wapate vitambi
 
Awe mwanaume au mwanamke wote aipendezi kuwa na vitambi sema wanawake hatunaga maneno kama wanaume
 
Utoaji mimba... Kutumia vyakula vya mafuta sana... Kutokufanya mazeozi... Uzazi...
 
Mkuu tusogezee picha basi angalao tutofautishe Mimba na Kitambi
 
Anaweza akawa ameona mimba kweli!!!
mmmh labda...mimi labda mimba ikiwa kubwa ya miezi mi5 na kuendelea ndio nitaona ni mimba kweli..ila ikiwa na mwezi m1 nashindwa kutofautisha na kitambi kabisa yaani
 
Yaani hawa wanawake wenye vutambi ambavyo mimi siwapendi kujihusisha nao kimapanzi,hakika wangefanya jitihada za kuviondoa kabisa Nina mdada mmoja ni mpenzi wangu yaani tangu awe na kitambi,ile hamu yaku-MFANYA imepungua kabisa badala yake mawazo yameanza kwenda kwa baadhi ya mabinti wa mitaani ambao viuno vyao vyembamba na nyonga zao pana huku makalio makubwa kiasi sambamba na matumbo yao kuwa flat.
 
Matumizi ya ARVs, Uzazi wa mpango, vyakula vyenye makemikali,uvivu wa mzaoez, n.k unakuta jitu linakitambi chenye michirizi kama pundamilia alafu chura imepotea kabsaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…