Ongezeko la wadada wanaotoboa pua

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,839
Reaction score
13,130
Wakuu hili inanishangaza Sana kumekuwepo na ongezeko kubwa kwa wadada pisi kali kutoboa pua na masikio matobo mengi. Hata Kama mnapendeza ila mimi gorogo nitakuchakata tu na kukuacha manake inasemekana kuwa nyinyi mnaotoboa pua ni wanawake fulani wahuni hivi au malimbukeni

Kwanini wanafanya hvyo katika maisha yangu sijapata kuona mwanamke ameolewa akiwa ametoboa pua sijapata kukutana nao wengi ni masikio na unakuta katoga moja kwa hereni moja tu

Haya tuambieni kuna siri gani kutoboa pua hamuoni kuwa mnaonekana watu wa ajabu ajabu kwa mambo ya ovyo ovyo

Huwezi mkuta mwanamke smart halafu anatoboa pua au umkute daktari au Hr wa kampuni au taasisi kubwa katoboa pua huwezi

Nawapa tahadhari ondoeni vipini vyenu haraka sana.

Nimeshuka ktk daladala Hapo Kibo Tegeta hapa nimekaa siti moja na pisi kali mno mtoto mashalaah namba nimepata ila kikwazo katoboa pua kaniudhi kweli ila fresh nitawapa mrejesho kule kimasiara
 
Picha?
 
Njoo kusini Huku wamwera,wamaraba wa masasi na wamakonde utaona mpk wengine tuko nao maofisini NI kawaida Sana..labda huko kwenu ndo ajabu btw me mwenyewe sipendi mke Wangu atoboe pua
Hivi Bosi hujarudi masasi tu?
 
Mkuu kweli kabisa wanakosa hata heshima maana Kuna mwanangu tuliachana miaka kadhaa iliyopita Sasa siku moja tukaonana town akaniambia kj75 twende ukamsalimie shemeji yako halaf nikusindikize uwende.

Nikasema Poah twende zao kufika kwa shemela duuuuuuh ametoboa masikio Kama Mara Tatu Na kaweka heleni puani njoo kucheki miguuni amevaa vikuku , kanyoa kiduku duuuuuuh Mimi Na wale watu Ni vitu viwili tofauti kwanza huwa nahisi Ni Malaya Sana maharage maji Mara moja.
 
Siku hizi matobo mengi ya masikio ndo habari ya mjini,lakini Pua ni kama fashion yake ishapita, zamani ndo ilikuwa inabamba sana!!!
Ni kweli mnapendeza ila mnaonekana wahuni fln HV
 
Njoo kusini Huku wamwera,wamaraba wa masasi na wamakonde utaona mpk wengine tuko nao maofisini NI kawaida Sana..labda huko kwenu ndo ajabu btw me mwenyewe sipendi mke Wangu atoboe pua
Watu wa huko wa mechi za hatari sana ukienda hujao huko hutoki bila mke aisee
 
Balah Sana babu cwezi kukupeleka kwa mzazi wangu huku umetoboa pua na masikio Mara tatu Zaid na Bado umejichora tatu ziIofutika nitakugonga tu alfu nakuachia wengine waje au nakupelekea usingle mama kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…