Ugoro ulichukua nafasi ya kuberi,stimu zinazopatikana kwenye kuberi ndizo zilizopo kwenye ugoro!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kutematema mimateKijana ane2mia ugoro namuona hana maana kabisa.....
Stimu za kimaku sana zile
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakutana na masela watanashati balaa wanagongeana ugoro.....mnaisema arusha sana ila sio kanda ya ziwa wala pwani wote naona ugoro umeshika kasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepanda bei sana wamasai nao wameongezeka mjiniKuna mzee nilikaa nae akawa analalamika kwamba sasa ivi ugoro haushikiki umepanda sana bei baada ya soko lake kuingiliwa na vijana. Akasema wazee kwa sasa hawamudu tena kununua kiburudisho hicho.
Huyu atakuwa mgeni wa pande hizo!Ugoro ulichukua nafasi ya kuberi,stimu zinazopatikana kwenye kuberi ndizo zilizopo kwenye ugoro!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu utafiti ni kwa hisani ya watu wa wapi
Wanaida dawaYaani siku hizi ulevi wa vijana wengi wamehamia kwenye ulaji wa ugoro na katika utafiti nimegundua kwa asilimia kubwa ya vijana hao ukichunguza sana wengi wao wanatoka kanda kaskazini.
Zamani ilikuwa ni wazee kuanzia miaka 55 na kuendelea.
Je, nini kifanyike ili vijana warudi kwenye hali yao ya kawaida
Sijui madhara yake mkuu ila nahisi yapoKwa baadae si una madhara?
Hahahha umenikumbusha mbali sana kuhusu suala la ugoro
Enzi niko form two nikiwa njuka kabisa nilikuwa na mshkaji wangu yuko form three enzi izo nasikia tu ugoro ila sijawahi kuuona
Basi bwana jamaa akaniambia embu chukua onja nikakataa akaniambia basi jaribu weka puani hahahaha nikakubali
Hahahaha daaah nilipata tabu sana kama nataka kupiga chafya ila stimu inakata
Tangu siku ile nikawa nasikia ugoro tu ila sitaki ata chembe