Ongezeko la mshahara ni Tsh 2,500/= rekodi nyingine imevunjwa

Sound tu hizo, ila wataleta mushkeli kwa baadhi ya watu kuingia front kudai madaraja yao na mishahara mipya....yetu macho.
 
Hivi mwakani itafika kweli, yaani mtu unaona hata uuze nyumba uende bush kabisa ukajenge kabanda kadogo , utafuye shamba ulime , ufuge kuku. Yaani upate sehemu kuna bonde hivi utulie huko..uache kupigizana kelele na watu wa mjini.
Unakula zako ganja kimyaaa, mayai ya kuku unaokota unakula, maisha ivo yani.
Hili ndilo la maana

Usiishie hapa hapa fanyia kazi wazo hili
 
Hivi mwakani itafika kweli, yaani mtu unaona hata uuze nyumba uende bush kabisa ukajenge kabanda kadogo , utafuye shamba ulime , ufuge kuku. Yaani upate sehemu kuna bonde hivi utulie huko..uache kupigizana kelele na watu wa mjini.
Unakula zako ganja kimyaaa, mayai ya kuku unaokota unakula, maisha ivo yani.
 
Mama

Mwakani sasa si ndo hii tayari new financial year imeanza tarehe 01/07/2021..

Ndo maana unaona wajuba wamepagawa na hicho kiasi...
Sio kwamba alimaanisha kwamba 2022 okay....
Ila watu wanapanda madaraja, kuanzia June na July hii watu wamepata mishahara mipya, tuwe wavumilivu tu awamu kwa awamu....

Tuendelee kula mtori nyama zipo chini 😁
 
Kwa aliyepewa sio nyingi..., ila kwa inapotoka ni nyingi sana (Unajua mpo wangapi nyie) ? Ingawa kwangu mimi lawama na kwa Serikali sio kwa kutokuwapa nyie zaidi bali kwa kutoongeza kina nyie mkawa wengi zaidi....
 
Back
Top Bottom