Hii inaitwa heri nusu shari kuliko shari kamiliDaah,sio mbaya lakini utanunua balimi moja na mshikaki mmoja,..
Ngozi nyeusi tuna shida sanaUkiwabana watumish ndo raia wanaona serikal yao makini poleni
endeleeni kupiga makofi baadala ya muungane na Mbowe kudai katiba mpyaMambo yameiva huko mshahara wa mwezi Julai umeingia. Ongezeko ni 2500 baada ya kupunguza kodi 1%.
Hii inatosha robo ya nyama tu.
Kazi iendelee.
Heri isingewekwaHahahahaha hongera kwa kuongezewa robo kitoweo Mkuu.
Ndio maana wanaopata fursa wanakusanya kisawasawaPana jasusi mmoja alipata sema sehemu...kitu pekee cha kutokionea haya na huruma ni serikali....
Heri isingewekwa
MamaKwa nijuavyo mie may mosi maza alisema ataongeza mwakani.....
Hili ndilo la maanaHivi mwakani itafika kweli, yaani mtu unaona hata uuze nyumba uende bush kabisa ukajenge kabanda kadogo , utafuye shamba ulime , ufuge kuku. Yaani upate sehemu kuna bonde hivi utulie huko..uache kupigizana kelele na watu wa mjini.
Unakula zako ganja kimyaaa, mayai ya kuku unaokota unakula, maisha ivo yani.
Hivi mwakani itafika kweli, yaani mtu unaona hata uuze nyumba uende bush kabisa ukajenge kabanda kadogo , utafuye shamba ulime , ufuge kuku. Yaani upate sehemu kuna bonde hivi utulie huko..uache kupigizana kelele na watu wa mjini.
Unakula zako ganja kimyaaa, mayai ya kuku unaokota unakula, maisha ivo yani.
HahahahahMambo yameiva huko mshahara wa mwezi Julai umeingia. Ongezeko ni 2500 baada ya kupunguza kodi 1%.
Hii inatosha robo ya nyama tu.
Kazi iendelee.
Sio kwamba alimaanisha kwamba 2022 okay....Mama
Mwakani sasa si ndo hii tayari new financial year imeanza tarehe 01/07/2021..
Ndo maana unaona wajuba wamepagawa na hicho kiasi...
Kilo ya sukari sh 2800Mama kaongeza kilo ya sukari 2,500/=