Madaraja vipi
Madaraja vipi
Hakuna jipya chini ya SUNKazi iendelee Ila sio kwa mtindo huu.kweli hakuna jipya chini ya jua.
Kwa nijuavyo mie may mosi maza alisema ataongeza mwakani.....Mama kaongeza kilo ya sukari 2,500/=
million 6.5Kwa mshahara wa ngazi ipi?
Umenikumbusha Ile awamu ya pili ya mtu yule kutoka upande uleMambo yameiva huko mshahara wa mwezi Julai umeingia. Ongezeko ni 2500 baada ya kupunguza kodi 1%.
Hii inatosha robo ya nyama tu.
Kazi iendelee.
La wame lipo kwenye hatua nzuri sijui la busisiMadaraja vipi
Hivi mwakani itafika kweli, yaani mtu unaona hata uuze nyumba uende bush kabisa ukajenge kabanda kadogo , utafuye shamba ulime , ufuge kuku. Yaani upate sehemu kuna bonde hivi utulie huko..uache kupigizana kelele na watu wa mjini.Kwa nijuavyo mie may mosi maza alisema ataongeza mwakani.....
Serikali sikivu ya CCMMambo yameiva huko mshahara wa mwezi Julai umeingia. Ongezeko ni 2500 baada ya kupunguza kodi 1%.
Hii inatosha robo ya nyama tu.
Kazi iendelee.
Mambo yameiva huko mshahara wa mwezi Julai umeingia. Ongezeko ni 2500 baada ya kupunguza kodi 1%.
Hii inatosha robo ya nyama tu.
Kazi iendelee.