Ongezeko la matamasha ya dini kuwa na viingilio

Ongezeko la matamasha ya dini kuwa na viingilio

Angina

Senior Member
Joined
May 13, 2018
Posts
142
Reaction score
138
Nakumbuka enzi za utoto wetu kulikuwa na matasha mengi ya dini na yalikuwa yanaambatana na sinema hasa nyakati za usiku. Kuanzia mchana hadi mida ya jioni ilikuwa mahubiri na ifikapo mida ya saa moja jioni tunaangalia sinema bure kabisa.

Sasa hii imekuwa tofauti na ulimwengu wa Sasa ambapo matamasha mengi ya dini bila pesa yaani kiingilio huwezi shiriki katika matasha hayo.

Na kwa sasa matamasha hayo yamekuwa yaki promotiwa Sana kwenye vyombo mbalimbali vya habari na kiingilio sio pesa ndogo mfano laki moja na kuendelea [emoji849][emoji849]
 
Sio mbaya mana hata kuyaandaa matamasha hayo inahitaji pesa..kukodi ukumbi..kukodi vifaa vya mziki..standby generator..kupamba stage..kulipa mc..usafirishaji..lighting n.k

Hayo yote yanahitaji pesa..sasa ulitaka wafanye bure wataishije mjini kwa gharama zote hizo..tuwe na huruma sio kila kitu bure.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli lkn Kuna watu wanahamu Sana ya kuhudhuria sehem Kama hizo lkn pesa ndo changomoto
 
Aiseee weeeeewe ni mkongwe unaelekea kuzeeka sasa, hio ni miaka 90 kwenda 2000 ndio walikua wanafanyaga hivyo

Nakuja..
Ilkuwa hatar enz izo uko tayar kusema unameshiba ili uende kwenye sinema [emoji23][emoji23]
 
Mapromoter wenyewe wakina msama

Ova
 
Watu wasiokuwa na hela wana majungu!! Hivi kwanini?
 
Back
Top Bottom